Upo wa kutosha, tunza nyeti zako kwa usalama wako.Bodaboda anaweza kukupeleka mahali ambapo siyo nafuu sana kwani huwa wanalipwa kamishen akimpeleka mteja.
Newala moja🤔.nafikiri itskufaaAsante sana mkuu. Unaweza kuwa unajua jina la gesti yoyote nzuri iliyopo hapo Newala karibu na stendi ya bei hiyo?
Asante sana kaka nitakuja kutembea na Masasi piaKwa Newala, nyuma ya Halmashauri pale ipo ya 20k kwa siku,
Masasi zipo nyingi Mkuu, ukitoka stand njia ya kwenda Newala Kuna Moja matata sana bei ni 15k
Inategemea location, unaweza pata ya 30k hadi 150k.Na bei za Frame zikoje kaka? Nitataka nichukue frame ambayo nitaifanya ofisi yangu inayo husika na online content creation kama my side hustle
Wrong quoteUpo wa kutosha, tunza nyeti zako kwa usalama wako.
Ukibahatika kukosa UKIMWI utapaka U.T.I, gono na kaswende sugu.
AsanteNewala moja🤔.nafikiri itskufaa
Asante sana kaka hiyo ya 30 itanifaa as long as unasema kuna usalama. Najua watu hawawezi kuiba computer na podcast kit.Inategemea location, unaweza pata ya 30k hadi 150k.
Asante sana mkuu kwa taarifa inabidi nichukue tahadhari. No sex without condom lakini pia kupima kwanza kabla ya mahusiano ili hata unatumia kinga ujue unatumia kinga na mtu ambae afya yake ipo stable coz nasikia huko mpaka vitoto vidogo vimecharukaUpo wa kutosha, tunza nyeti zako kwa usalama wako.
Ukibahatika kukosa UKIMWI utapaka U.T.I, gono na kaswende sugu.
Asante sana mkuu mishe gani huko Newala?Karibu sana mkuu mimi pia narejea tena Newala nilikuwa Mtwara sasa hivi narejea tena Newala
Nataka kuandika makala kuhusu life style ya watu wa mikoa wa kusini. Naanza na NewalaAsante sana mkuu mishe gani huko Newala?
As a sane man u have to learn how to minimize cost by any means necessary. Hakunaga tuzo ya kukaa kwenye lodge ya bei ya juu.Daah Masasi au Newala ukiwa unauliza gesti za bei nafuu wakati miji yenyewe ni ya bei nafuu ukienda Chugastani itakuaje?
Daah haya maneno meengi wanaume hatuna endelea kuuliza Lodge ya bei nafuu Namtumbo mkuu...As a sane man u have to learn how to minimize cost by any means necessary. Hakunaga tuzo ya kukaa kwenye lodge ya bei ya juu.
Mwanaume asifiwi kukaa kwenye gesti ya bei ya juu wala kupanga kwenye nyumba nzuri. Sifa ya mwanaume ni kujenga nyumba nzuri sio kupanga kwenye lodge au nyumba nzuri
OkayDaah haya maneno meengi wanaume hatuna endelea kuuliza Lodge ya bei nafuu Namtumbo mkuu...
Mlivyohangaika nae humu kumsaidia hata ahsante hakusema..au aliwaambia PM..Haya sasa
Kama ni pea utalii wa kingono mkuu hakuna maajabu yoyote bora uende zako Mtwara mjiniTupe mrejesho mkuu, nina mpango wa kufika huko