Gharama za ku-certify vyeti mahakamani, fedha inaenda wapi?

Gharama za ku-certify vyeti mahakamani, fedha inaenda wapi?

sekhal

Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
44
Reaction score
37
Habari zenu wana JF,

Kuna huu mfumo binafsi siuelewi na sielew alieanzisha alikua na maana ipi.

Taasisi kubwa kama utumishi na baadhi ya taasisi za umma na binafsi, pindi wanapotoa tangazo la nafasi za Kazi wanakuambia uambatanishe current certified copies, cha kushangaza siku ya interview wanakuambia uwe na vyeti original.

Jambo hili binafsi huwa linaniumiza sana hasa ukizingatia gharama za kupata hyo mihuri kutoka kwa mawakili/ wanasheria ni kubwa mno mbaya zaid unaweza tumia gharama zote hzo na interview usiitwe

Yan unagharamia takriban 20k kutuma ombi la kazi sehemu, watu wanapata madeni kisa hela ya kucertify vyeti!

Ushauri: Ni wakati sasa kwa taasisi kubadilika na kuacha kuwapa gharama zisizo kuwa lazma waombaji wa nafasi za kazi, maana kama mtu atafanikiwa kupata interview ataleta vyeti halisi (hakuna haja ya ku-certify kwa wanasheria.)

Jambo lingne hizi fedha tunazotoa mahakani ili nakala zetu zipigwe muhuri huwa zinaenda kwenye mfuko wa nani (Serikali / wakili) ?. Na serikali inafahamu yanayoendelea kuwa huwa tunatozwa sh 3k - 5k kwa cheti?
 
Mkuu unaongea kitu mbolea kabisa Ila nakushauri kabisa tuma email yenye maudhuhi ya kulalamika na kupinga huu uonevu wanaotufanyia na ikiwezekana kama uko na Access kubwa we nenda kalalamike hata sehemu ya juu kabisa ikiwezekana asikie Hadi Mama yetu tuliyempa dhamana ya hii nchi, Maana haiwezekani kabisa hii Ajira zenyewe ni chache alafu wananyima watu kufanya Usaili Hali ya kuwa gharama za usafiri, malazi, chakula wanajitegemea wasaili wenyewe. Waite watu waje kubolonga wenyey na si kuleta hizi janjajanja.

Hii utasaidia sana hata vijana wengine ambao wanasumbiliwa na hizi mambo.
 
Habari zenu wana JF,

Kuna huu mfumo binafsi siuelewi na sielew alieanzisha alikua na maana ipi.

Taasisi kubwa kama utumishi na baadhi ya taasisi za umma na binafsi, pindi wanapotoa tangazo la nafasi za Kazi wanakuambia uambatanishe current certified copies, cha kushangaza siku ya interview wanakuambia uwe na vyeti original.

Jambo hili binafsi huwa linaniumiza sana hasa ukizingatia gharama za kupata hyo mihuri kutoka kwa mawakili/ wanasheria ni kubwa mno mbaya zaid unaweza tumia gharama zote hzo na interview usiitwe

Yan unagharamia takriban 20k kutuma ombi la kazi sehemu, watu wanapata madeni kisa hela ya kucertify vyeti!!!,

Ushauri: Ni wakati sasa kwa taasisi kubadilika na kuacha kuwapa gharama zisizo kuwa lazma waombaji wa nafasi za kazi, maana kama mtu atafanikiwa kupata interview ataleta vyeti halisi (hakuna haja ya ku-certify kwa wanasheria.)

Jambo lingne hizi fedha tunazotoa mahakani ili nakala zetu zipigwe muhuri huwa zinaenda kwenye mfuko wa nani (Serikali / wakili) ?. Na serikali inafahamu yanayoendelea kuwa huwa tunatozwa sh 3k - 5k kwa cheti?
Nadhani ww umeenda Kwa private advocates ila ukweli ni kwamba pindi unapoomba kazi unatumia nakala ya vyeti iwe softcopy au hardcopy bado sio original sasa watajuaje kuwa ww unavyo vyeti halali ni kupitia muhuri wa mahakimu au mawakili hasa wa serikali na wao hawaisaini hivi hivi bila kuona original certifucates zako na ambapo hugharimu TSH 5000 kwa vyeti vyote utakavyokuwa navyo hata viwe 100 na utapewa bank receipt ukalipie bank NMB kama sijakosea ingawa rushwa haziepukiki ila utaratibu ndio huo niliokupa.

NB.Usikurupuke kulaumu kama hujui lolote. Wapo wanaotumia vyeti vya kuchonga na wanawabania rizik watu wengine hata Nafasi ya kuitwa kwenye usaili
 
Nadhani ww umeenda Kwa private advocates ila ukweli ni kwamba pindi unapoomba kazi unatumia nakala ya vyeti iwe softcopy au hardcopy bado sio original sasa watajuaje kuwa ww unavyo vyeti halali ni kupitia muhuri wa mahakimu au mawakili hasa wa serikali na wao hawaisaini hivi hivi bila kuona original certifucates zako na ambapo hugharimu TSH 5000 kwa vyeti vyote utakavyokuwa navyo hata viwe 100 na utapewa bank receipt ukalipie bank NMB kama sijakosea ingawa rushwa haziepukiki ila utaratibu ndio huo niliokupa.

NB.Usikurupuke kulaumu kama hujui lolote
Hata mahakamani wanataka pesa ndio wafanye certifying umekuja mjini lini hata ukienda kwa wanasheria wa wa serikali the same story pesa mbele kama nguo ya ndani na pesa wanachukua wenyewe hawatoi control number wala babu yake.
 
Hata mahakamani wanataka pesa ndio wafanye certifying umekuja mjini lini hata ukienda kwa wanasheria wa wa serikali the same story pesa mbele kama nguo ya ndani na pesa wanachukua wenyewe hawatoi control number wala babu yake.
Tangia napata heslb na nimepata kazi mjini wewe bado unasoma sasa kijana kama umepigwa ni ww and mind ur own brain sawa utaratibu niliokupa ndio huo sijawahi kuchajiwa per certificate. ni elf 5 tu vyeti vyote usilazimishe yaliyokutokea iwe kwa watu wote
 
Nadhani ww umeenda Kwa private advocates ila ukweli ni kwamba pindi unapoomba kazi unatumia nakala ya vyeti iwe softcopy au hardcopy bado sio original sasa watajuaje kuwa ww unavyo vyeti halali ni kupitia muhuri wa mahakimu au mawakili hasa wa serikali na wao hawaisaini hivi hivi bila kuona original certifucates zako na ambapo hugharimu TSH 5000 kwa vyeti vyote utakavyokuwa navyo hata viwe 100 na utapewa bank receipt ukalipie bank NMB kama sijakosea ingawa rushwa haziepukiki ila utaratibu ndio huo niliokupa.

NB.Usikurupuke kulaumu kama hujui lolote. Wapo wanaotumia vyeti vya kuchonga na wanawabania rizik watu wengine hata Nafasi ya kuitwa kwenye usaili
Nashukuru kwa ufafanuzi lkn uhalisia n kwamba watu weng hawafahamu haya mambo ? Nieleze mahakama ipi hyo kwa hapa dsm wanayotoa mpaka control namba ukalipie bank maana
Nimetoka mahakama ya mwanzo ya ukonga nilikua na nakala zaid ya 10 bei tulibargain start from 10k to 5k na hapo nmelaumiwa sana.
Sasa kama utaratibu upo hyo why bargaining kaka?
 
Nadhani ww umeenda Kwa private advocates ila ukweli ni kwamba pindi unapoomba kazi unatumia nakala ya vyeti iwe softcopy au hardcopy bado sio original sasa watajuaje kuwa ww unavyo vyeti halali ni kupitia muhuri wa mahakimu au mawakili hasa wa serikali na wao hawaisaini hivi hivi bila kuona original certifucates zako na ambapo hugharimu TSH 5000 kwa vyeti vyote utakavyokuwa navyo hata viwe 100 na utapewa bank receipt ukalipie bank NMB kama sijakosea ingawa rushwa haziepukiki ila utaratibu ndio huo niliokupa.

NB.Usikurupuke kulaumu kama hujui lolote. Wapo wanaotumia vyeti vya kuchonga na wanawabania rizik watu wengine hata Nafasi ya kuitwa kwenye usaili
Kwanza kabisa hakuna mahakama inayotoa hio huduma kwa 5000...ni kuanzia 10k..

Hata hapo mahakaman unaweza peleka cheti fake ,cha kuchonga na Waka certifie hicho cheti kwani huwa wanaangalia tu kwa macho na kutia Saini na mhuri .....hapo mahakamani hakuna kifaa chochote ambacho kinatumika kuaangalia ...


Hakuna mantiki yeyote ya vyeti kuhakikiwa mahakama kuwa ni og wakati pale mahakaman hawatumii vyanzo vyovyote kuangalia kama ni og au fake ...kiufupi tunapigwa tu ....
 
Kwanza kabisa hakuna mahakama inayotoa hio huduma kwa 5000...ni kuanzia 10k..

Hata hapo mahakaman unaweza peleka cheti fake ,cha kuchonga na Waka certifie hicho cheti kwani huwa wanaangalia tu kwa macho na kutia Saini na mhuri .....


Hakuna mantiki yeyote ya vyeti kuhakikiwa mahakama kuwa ni og wakati pale mahakaman hawatumii vyanzo vyovyote kuangalia kama ni og au fake ...kiufupi tunapigwa tu ....
Acha tu kaka, wanatengeneza mazingira ya upigaji
 
Mm naweza kuwa baba yako,nimesoma chuo kikuu mwanzoni mwa 2000s.
Heshima kitu cha bure,mm nazungumzia uhalisia ww unaleta porojo
Tangia napata heslb na nimepata kazi mjini wewe bado unasoma sasa kijana kama umepigwa ni ww and mind ur own brain sawa utaratibu niliokupa ndio huo sijawahi kuchajiwa per certificate. ni elf 5 tu vyeti vyote usilazimishe yaliyokutokea iwe kwa watu wot
 
Hata mahakamani wanataka pesa ndio wafanye certifying umekuja mjini lini hata ukienda kwa wanasheria wa wa serikali the same story pesa mbele kama nguo ya ndani na pesa wanachukua wenyewe hawatoi control number wala babu yake.
Mkuu hata kwenye issue ya affidavit form ni the same
 
Habari zenu wana JF,

Kuna huu mfumo binafsi siuelewi na sielew alieanzisha alikua na maana ipi.

Taasisi kubwa kama utumishi na baadhi ya taasisi za umma na binafsi, pindi wanapotoa tangazo la nafasi za Kazi wanakuambia uambatanishe current certified copies, cha kushangaza siku ya interview wanakuambia uwe na vyeti original.

Jambo hili binafsi huwa linaniumiza sana hasa ukizingatia gharama za kupata hyo mihuri kutoka kwa mawakili/ wanasheria ni kubwa mno mbaya zaid unaweza tumia gharama zote hzo na interview usiitwe

Yan unagharamia takriban 20k kutuma ombi la kazi sehemu, watu wanapata madeni kisa hela ya kucertify vyeti!

Ushauri: Ni wakati sasa kwa taasisi kubadilika na kuacha kuwapa gharama zisizo kuwa lazma waombaji wa nafasi za kazi, maana kama mtu atafanikiwa kupata interview ataleta vyeti halisi (hakuna haja ya ku-certify kwa wanasheria.)

Jambo lingne hizi fedha tunazotoa mahakani ili nakala zetu zipigwe muhuri huwa zinaenda kwenye mfuko wa nani (Serikali / wakili) ?. Na serikali inafahamu yanayoendelea kuwa huwa tunatozwa sh 3k - 5k kwa cheti?
Mimi nilikuwa nagongaga bure, nikimkuta nisie mfahamu namwambia kabisa nina 5k ya motisha akinisumbua namwambia anipe na EFD risiti kabisa.
 
Kwanza kabisa hakuna mahakama inayotoa hio huduma kwa 5000...ni kuanzia 10k..

Hata hapo mahakaman unaweza peleka cheti fake ,cha kuchonga na Waka certifie hicho cheti kwani huwa wanaangalia tu kwa macho na kutia Saini na mhuri .....hapo mahakamani hakuna kifaa chochote ambacho kinatumika kuaangalia ...


Hakuna mantiki yeyote ya vyeti kuhakikiwa mahakama kuwa ni og wakati pale mahakaman hawatumii vyanzo vyovyote kuangalia kama ni og au fake ...kiufupi tunapigwa tu ....
Mzee hio hela ni rushwa wengine huwa hawataki hata uwape mkononi..wanakwambia itumbukize kwenye bahasha., kwamimi ninavyojua hio huduma ni bure tofauiti na hivyo basi serikali ndio inaibiwa..watu hutoa hio 5k kuepusha usumbufu tu.
 
Back
Top Bottom