Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 135
Wana-JF natumai mko poa,
Please naombeni msaada wenu juu ya kusafirisha/ kuingiza cement ya pakistan. Kwa kuanzia naombeni mnisaidie mambo yafuatayo;
I) Ni kampuni gani maarufu inayoaminika kwa kuuza cement kwa nchi za Africa, ikiwemo Tanzania.
II) Bei ya mfuko mmoja wa kg 50 ni ipi?
III) Kontena moja la 20ft linachukua mifuko mingapi?
IV) Duties zake kwa port ya dar es salaam zikoje?
Asanteni sana
Please naombeni msaada wenu juu ya kusafirisha/ kuingiza cement ya pakistan. Kwa kuanzia naombeni mnisaidie mambo yafuatayo;
I) Ni kampuni gani maarufu inayoaminika kwa kuuza cement kwa nchi za Africa, ikiwemo Tanzania.
II) Bei ya mfuko mmoja wa kg 50 ni ipi?
III) Kontena moja la 20ft linachukua mifuko mingapi?
IV) Duties zake kwa port ya dar es salaam zikoje?
Asanteni sana