Rose Of Africa
JF-Expert Member
- Apr 27, 2020
- 228
- 96
Habari wana JF
Kumekuwa na sitofahamu kwa wachimba visima, haswa pale unapohitaji kuchimbiwa kisima, kila mmoja anataja gharama zake kwa anavyojisikia!. Hili ni tatizo!
Napenda kufahamu kuhusu uchimbaji wa visima kwa hapa Dar Es Salaam. Je yupo mtu anayefahamu Company au mtu mwaminifu kwa shughuli hizi?
Wachimbaji waaminifu, na gharama Zao
Karibuni!
Kumekuwa na sitofahamu kwa wachimba visima, haswa pale unapohitaji kuchimbiwa kisima, kila mmoja anataja gharama zake kwa anavyojisikia!. Hili ni tatizo!
Napenda kufahamu kuhusu uchimbaji wa visima kwa hapa Dar Es Salaam. Je yupo mtu anayefahamu Company au mtu mwaminifu kwa shughuli hizi?
Wachimbaji waaminifu, na gharama Zao
Karibuni!