Smartboy
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 1,111
- 129
Labda sijaeleweka vyema,swali langu mimi nijiandae na sh ngapi ili niwaite wanakamati?mfano hapo kwenye 3M ina maana nijiandae na nusu au robo yake.
uwe na atleast 1m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda sijaeleweka vyema,swali langu mimi nijiandae na sh ngapi ili niwaite wanakamati?mfano hapo kwenye 3M ina maana nijiandae na nusu au robo yake.
Lolz! :biggrin:
kaka hiyo nimeipenda, yani hapo na change inabaki ya kwenda honey moon kwa wiki nzima Msisimko Guest House
Hili si suala la kuuliza,wewe mwenyewe unajua unataka harusi yako iwe vp kulingana na hela ulizonazoHabari za jioni wanajamvi.
Mimi ni kijana wa makamo na nimedhamiria kuchukua 'jiko' yaani mke mwakani.kwa wale wenye majiko au wazoefu wa kamati za harusi naomba msaada wenu katika hili.
Ukizingatia mimi ni mtumishi wa umma mwenye kipato cha wastani ningependa kujua ni kiasi gani cha fedha(makadirio) ninahitaji kuwa nacho mimi kama mimi kabla sijaenda kujitambulisha ukweni?
Naomba tuelezane kuhusu gharama za ukumbi,vyakula,vinywaji,mavazi ya maharusi,usafiri,mc,n.k
ningependa harusi ifanyikie mjini arusha lakini kama kuna sehemu ambayo gharama zake ni cheaper naweze kuangalia uwezekano wa kufanyia huko.
N.B ndoa itakua ya kikristu.
Naamini michango yenu itasaidia wadau wengi walioko kwenye mchakato wa kufunga ndoa.
Mkuu unataka kujua gharama kabla ya kupata confirmation ukweni?
Kwanza hongera sana kwa kuamua kuingia uwanjani KUIJAZA DUNIA kama amri kuu tuliyopewa.
la msingi mwenza wako ndio atakusaidia mfanye harusi ya aina gani,kumbuka kumtanguliza mbele kwenye maamuzi yako vinginevyo utachemka mapema.
Harusi ndio kila kitu kwa mwanamke...kama amehudhuria sherehe 20 za harusi basi kila moja alikuwa anafanya sampling ya jambo gani zuri kalipenda na atalifanya pia kwenye harusi yake mathalani sare,mapambo,staili ya keki nk.
so,msikilize na baadae muamue kwa kutegemea nguvu ya uchumi wenu ili msije ingia na madeni kwenye ndoa.
inabidi uwe umejiimarisha kidogo kwani umesema hata kwao hujaenda kwani kuna hatari wazazi wakaweka ngumu kama kuna dalili za binti yao kula ugali na picha ya samaki.
Mungu akubariki sana na akufanyie wepesi ufanikiwe.
lastly,Pray Hard brother.
God listens.
mkuu mchango wako unatia nguvu na utulivu wa moyo.[/QUOTE
pamoja sana kaka
Unaweza fanya harusi ya 3m na ukaita watu mia tu, ukumbi wa kawaida huko sinza zipo, kama utoji au lulu ni laki 250-300. vinywaji boxi tatu za wine 75,000. gari la harusi chukua corora tu 50000. soda crate 20*12500, chakula weka ndizi na nyama za kukaanga,bagia na kachumbali kwa sh 2000.mc chukua wa uswahilini laki mbili zinamtosha, duuu inabana sana ila unaweza ukajibana nayo.hahahahahahaha
kwenye kikao ingalau utoe laki tano