Ntwa A. Katule
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 239
- 230
nafikiri zitakuwa na VAT tu kama sikoseiMkuu Kama Nikiagiza Educational Materials Kama Pens Na Madaftari Nitatakiwa Kulipakodi ? Maa Nasikia Educational Materials Ni Bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nafikiri zitakuwa na VAT tu kama sikoseiMkuu Kama Nikiagiza Educational Materials Kama Pens Na Madaftari Nitatakiwa Kulipakodi ? Maa Nasikia Educational Materials Ni Bure
Naomba msaada Wadau Nina milioni 20 Nataka kununua Music system ya kisasa je Hiyo pesa inatoshaNimeona machine ya Ku print alibaba inauzwa bei cheap.dola 115 sasa nimeshawishika kununua ...sasa ndio nikapata kigugumiz kwenye gharama za usafiri na kodi zisije kua kubwa nikapoteza pesa zangu... Cjaagiza bado Ila nafikiria kuagiza..naomba uzoefu..
Ndio inatoshaNaomba msaada Wadau Nina milioni 20 Nataka kununua Music system ya kisasa je Hiyo pesa inatosha
Vipi ulifanikiwa? Huu uzi umenifumbua macho kidogoNaomba msaada Wadau Nina milioni 20 Nataka kununua Music system ya kisasa je Hiyo pesa inatosha
Kaka umewahi kuagiza mzigo Alibaba??Nimeona machine ya Ku print alibaba inauzwa bei cheap.dola 115 sasa nimeshawishika kununua ...sasa ndio nikapata kigugumiz kwenye gharama za usafiri na kodi zisije kua kubwa nikapoteza pesa zangu... Cjaagiza bado Ila nafikiria kuagiza..naomba uzoefu..
Mmmh
- Je mzigo wako upo mji gani huko china?
Kwa uzito wa 30kg, kwa courier company bei sio chini ya $726.54 USD kutoka china.
[emoji838]Karibu www.v.ht/buy4me [emoji838]
Je nini maoni/mawazo yako?, ili nawengine wanufaike.Mmmh
Nafikiria kuagiza mashine za bakery kutoka china, nimeona mashine aalibaba na bei zinavutia, nahitaji kujua itachukua muda gani mashine kufika Tanzania kwa usafiri wa meli?Je nini maoni/mawazo yako?, ili nawengine wanufaike.
Kama inatia shaka fika kwenye ofisi mfano za DHL, FEDEX etl upate gharama
View attachment 1175159
Iwapo mzigo unakuja kwa njia ya maji, Gharama huwa ni nafuu zaidi, kwa CMB moja.
Ninahitaka kuagiza sofa seti bei ni M1.2 l, je hii kodi yake itakua bei gani? Bongo zauzwa m3.6 je niagize au bora kununua hapa?Ndio inatosha
Na pia inawezekna isitoshe
1. Ingia mtandaoni utafute music system unayohitaji.
2. Weka link
3. Utapewa ghalama ya manunuzi + kusafirisha
4. Kodi / Vat ni bada ya mzigo kufika nchini
Namimi na shida kama hiiThen mimi nahitaji kuagiza sport bicycles kama pieces 100 hivi toka China naanzaje Ku order pamoja na na taratibu zingine ....Msaada pl