Gharama za kulima

Gharama za kulima

Kavishei

Senior Member
Joined
Nov 9, 2014
Posts
118
Reaction score
42
Habari wana jf. Ninaomba kufahamu kwa yeyote anayejua gharama za kusafisha pori hadi kupata ardhi inayofaa kupanda mazao ni kiasi gani kwa heka moja. Nimennua eneo pwani kibiti na ninatarajia kuanza kilimo huko.
 
Habari wana jf. Ninaomba kufahamu kwa yeyote anayejua gharama za kusafisha pori hadi kupata ardhi inayofaa kupanda mazao ni kiasi gani kwa heka moja. Nimennua eneo pwani kibiti na ninatarajia kuanza kilimo huko.

Bado hueleweki mkuu labda kwa kukusaidia hilo poli ili liwe shamba kuna aina 2.ya kwanza ambayo ndio nimeona huko wengi wanaitumia ni wanafyeka poli wanachoma halafu wanapuliza dawa ya kuua majani wanapanda kwa aina hiyo kufyeka huwa ni elfu 50 kwenda juu kwa heka.aina ya 2 ni unafyeka msitu unawalipa na wanang'oa visiki unawalipa bei ingine ili shamba liwe jeupe upitishe tractor sasa sijui unapenda ipi karibu ktk kilimo kinalipa sana
 
@ kiogwe asante sana. Nashkuru umenielewa, Na kulima kwa tractor ni bei gani per heka?
 
Back
Top Bottom