Gharama za kulipia Azam Tv ni kubwa kwa Tanzania kuliko majirani zetu

Gharama za kulipia Azam Tv ni kubwa kwa Tanzania kuliko majirani zetu

Jeorpa

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
317
Reaction score
160
Kwa sisi wapenzi wa mpira na kisimbuzi cha Azam Tv, nilijipa muda nikachunga na kuthibitisha sisi Tanzania tunalipia pesa nyingi kununua na kulipia vifurushi vya Azam tv tofauti hata na majirani zetu Kenya na Uganda, najiuliza hivi shida yetu kubwa ni nini hadi tunalipia gharama kubwa hivi

Mfano Kenya Azam lite ni Ksh 300 amboyo ni sawa na Tsh 5k wakati kwetu ni Tsh 8k. Nawaomba wenye mamlaka waliangalie hili pia kwa jicho makini, maisha yetu niya gharama sana wakati huu kila kitu kipo juu🙏
 
Acha zako hiyo ni biashara za watu na ipo kwa ajili ya kupata faida.
Nyinyi mnalipa gharama kubwa kuliko kenya na uganda kwa sababu nyinyi mnauhitaji mkubwa wa ligi kuu kuliko kenya na uganda.
 
Kwa sisi wapenzi wa mpira na kisimbuzi cha Azam Tv, nilijipa muda nikachunga na kuthibitisha sisi Tanzania tunalipia pesa nyingi kununua na kulipia vifurushi vya Azam tv tofauti hata na majirani zetu Kenya na Uganda, najiuliza hivi shida yetu kubwa ni nini hadi tunalipia gharama kubwa hivi

Mfano kesha Azam lite ni Ksh 300 amboyo ni sawa na Tsh 5k wakati kwetu ni Tsh 8k. Nawaomba wenye mamlaka waliangalie hili pia kwa jicho makini, maisha yetu niya gharama sana wakati huu kila kitu kipo juu[emoji120]
Kwani ujui chuki ya wazanzibar kwa wabara ? Mcheki saa100 na upuuzi nchi nzima
 
Kwa sisi wapenzi wa mpira na kisimbuzi cha Azam Tv, nilijipa muda nikachunga na kuthibitisha sisi Tanzania tunalipia pesa nyingi kununua na kulipia vifurushi vya Azam tv tofauti hata na majirani zetu Kenya na Uganda, najiuliza hivi shida yetu kubwa ni nini hadi tunalipia gharama kubwa hivi

Mfano kesha Azam lite ni Ksh 300 amboyo ni sawa na Tsh 5k wakati kwetu ni Tsh 8k. Nawaomba wenye mamlaka waliangalie hili pia kwa jicho makini, maisha yetu niya gharama sana wakati huu kila kitu kipo juu[emoji120]
Malawi ni rahisi zaidi
 
Acha zako hiyo ni biashara za watu na ipo kwa ajili ya kupata faida.
Nyinyi mnalipa gharama kubwa kuliko kenya na uganda kwa sababu nyinyi mnauhitaji mkubwa wa ligi kuu kuliko kenya na uganda.
Acha uzwazwa wewe nani amekuambia kila mtu anashabikia mpira?
Kama shida ni mpira angeweka package yake special kwa wapenda mpira
 
Acha uzwazwa wewe nani amekuambia kila mtu anashabikia mpira?
Kama shida ni mpira angeweka package yake special kwa wapenda mpira
Narudia tena hiyo ni biashara za watu wanahitaji faida na sio kukufurahisha ww.
 
Narudia tena hiyo ni biashara za watu wanahitaji faida na sio kukufurahisha ww.
Jibu swali kila mtu anashabikia mpira wa miguu? Maana wewe hoja yako umesema ligi kuu ndio sababu ya vifurushi kuwa Bei juu
 
Kwa sisi wapenzi wa mpira na kisimbuzi cha Azam Tv, nilijipa muda nikachunga na kuthibitisha sisi Tanzania tunalipia pesa nyingi kununua na kulipia vifurushi vya Azam tv tofauti hata na majirani zetu Kenya na Uganda, najiuliza hivi shida yetu kubwa ni nini hadi tunalipia gharama kubwa hivi

Mfano kesha Azam lite ni Ksh 300 amboyo ni sawa na Tsh 5k wakati kwetu ni Tsh 8k. Nawaomba wenye mamlaka waliangalie hili pia kwa jicho makini, maisha yetu niya gharama sana wakati huu kila kitu kipo juu🙏
Kwetu Kodi na tozo ziko nyingi
 
Kwa sisi wapenzi wa mpira na kisimbuzi cha Azam Tv, nilijipa muda nikachunga na kuthibitisha sisi Tanzania tunalipia pesa nyingi kununua na kulipia vifurushi vya Azam tv tofauti hata na majirani zetu Kenya na Uganda, najiuliza hivi shida yetu kubwa ni nini hadi tunalipia gharama kubwa hivi

Mfano kesha Azam lite ni Ksh 300 amboyo ni sawa na Tsh 5k wakati kwetu ni Tsh 8k. Nawaomba wenye mamlaka waliangalie hili pia kwa jicho makini, maisha yetu niya gharama sana wakati huu kila kitu kipo juu🙏
Umesahau kama serikali yako sikivu iliongeza kodi/tozo kwenye visimbuzi, kikiwemo hicho cha Azam?
Sababu inaweza kuwa ni hiyo.
 
😆😆😆

20230118_173151.jpg
 
Jibu swali kila mtu anashabikia mpira wa miguu? Maana wewe hoja yako umesema ligi kuu ndio sababu ya vifurushi kuwa Bei juu
Biashara huwa inapanda bei kwa sababu uhitaji kuongezeka.
 
Back
Top Bottom