Gharama za kulipia gari bandarini na TRA

justine Baragamba

New Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Naombeni mnisaidie utaratibu halisi wa kulipia ghrama za kuingiza gari nchini ilikwa ni pamoja na gharama za TRA usajili kutokana na mwaka
 
Jaribu uone, jamaa yangu kaingiza crown alilipia mil 5.2 ushuru umekuja mil 7.5 jaribu nawewe uone. Uchaguzi unakuja ujue
 
huu ushuru ni shida sana sana
na inakuwaje kama nikipitisha Mombasa?
 
Naombeni mnisaidie utaratibu halisi wa kulipia ghrama za kuingiza gari nchini ilikwa ni pamoja na gharama za TRA usajili kutokana na mwaka
Gharama zinategemeana na mwaka wa gari, CC ya gari na FOB ya gari. Ili tukusaidie vizuri weka hayo mambo wazi ili tujue tunaanzia wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…