Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #41
Hapa nimeandika tu na sijataja mtu au kutoa mfano hata mmoja! Ningefanya hivyo tuu..😂 pasingetosha... Ningetapikiwa mpaka miguuni🤪
In JF na katika maisha ya kawaida jifunze kukwepa mitego ya haters na maadui kwa kufanya mambo kwa tafakuri na 'exclusivity' kwq kufanya hivyo utabaki na silaha muhimu ya 'kuwapiga bila kuwagusa'🚶🏿
EXPERIENCE MATTERS 💪🏿
In JF na katika maisha ya kawaida jifunze kukwepa mitego ya haters na maadui kwa kufanya mambo kwa tafakuri na 'exclusivity' kwq kufanya hivyo utabaki na silaha muhimu ya 'kuwapiga bila kuwagusa'🚶🏿
EXPERIENCE MATTERS 💪🏿