Ive been to south Africa, where gun violence is eminent.Kweli Ila katika bastola hapo ni Kwa ajili ya kujilinda zaidi hasa kutokana hali ya usalama .
Hakika nakubaliana na weweIve been to south Africa, where gun violence is eminent.
Bastola ni moja ya kitu hatari sana kumiliki hasa kama una hasira
Na bado humo humo kwenye ukumbi unaweza ukapigwa chuma ukizingua, usiamini kabisa ule ukaguzi wa metal detectors kwa wale securities, ule ni kwa wanyonge ni kwa mimi na wewe , wababe wanapita na silaha pale pale.Ukiingia kumbi za starehe kule kuna sehemu maalum ya kukabidhi silaha
Christmas ya 2005 nusura igeuke kilio kwenye familia ya mshkaji wetu mmojaHakika nakubaliana na wewe
Nilishawahi kufanya hivyo Ukumbi mmoja mitaa ya Zithobeni.. Na bastola ndio iliniokoa (niliisimulia hapa)Na bado humo humo kwenye ukumbi unaweza ukapigwa chuma ukizingua, usiamini kabisa ule ukaguzi wa metal detectors kwa wale securities, ule ni kwa wanyonge ni kwa mimi na wewe , wababe wanapita na silaha pale pale.
Christmas ya 2005 nusura igeuke kilio kwenye familia ya mshkaji wetu mmoja
Jamaa alikuwa ana miliki mguu wa kuku.. Ile tar 24 kuqmkia tar 25 akawa kaikoki vema tayari kwa wezi na majambazi( kipindi kile kulikuwa na kuvamiwa vamiwa)
Kaikoki vema kaweka chini ya mto kalala? Asubuhi kuamka zikawa ni harakati za kanisani.. Mchana wake katukaribisha lunch nyumbani kwake
Tukiwa tuko sebuleni pale tunapiga story.. Watu kama sita hivi tulikuwa. Mara ghafla katokea vyumbani mwanae mdogo na bastola kaishika vizuri kwa mikono yote kainyanyua juu
Kufika sebuleni kamnyooshea baba yake direct anamwambia kiutani DAD HANDS UP!
Kilichotufanya tujue kuna tatizo ni vile jamaa alivyobadilika ghafla na kutumbua macho yote mawili kama panya aliyebanwa mlangoni
Zilikuwa sekunde kadhaa ngumu sana kwetu sote mke ndani.. Kuna ukimya mkuu wa ghafla ulitawala huku dogo akiendelea kusisitiza baba anyooshe mikono juu
Pona yake ni ujasiri wa house girl aliyetokea kwa nyuma, na kuinua juu zaidi mikono ya dogo na tukasikia paah!
Bastola haikuwa kwenye safety catch.. Rossi ilikula kioo cha dirisha na kupotelea nje!
Dogo hajui nini kimetokea analipa tuu.. Baba mtu kalala chini kaficha macho.. Wageni hatujui kwa hakika ninini hasa kilikuwa kimeleta yote hayo
Mama katoka jikoni mbio
Hali ilipotulia jamaa alilia sana! Tarehe 27 yake mapema asubuhi Jamaa akairudisha silaha polisi Oysterbay
Dada wa kazi ndio alikuwa bingwa wa mchezo
Nine interact na silaha for more than 20 years.. Kama unaishi maisha ya kawaida.. Silaha ni mzigo mzito unsohitaji ulinzi sawa tu na tunguli..Duh!!! Hakika hii ilikuwa kiboko na kubwa kuliko .
Tunaendelea kujifunza zaidi
Niliwahi kushuhudia jamaa akiua mke na mtoto wake then na yeye akajimaliza, ilikuwa jhb downtown.Christmas ya 2005 nusura igeuke kilio kwenye familia ya mshkaji wetu mmoja
Jamaa alikuwa ana miliki mguu wa kuku.. Ile tar 24 kuqmkia tar 25 akawa kaikoki vema tayari kwa wezi na majambazi( kipindi kile kulikuwa na kuvamiwa vamiwa)
Kaikoki vema kaweka chini ya mto kalala? Asubuhi kuamka zikawa ni harakati za kanisani.. Mchana wake katukaribisha lunch nyumbani kwake
Tukiwa tuko sebuleni pale tunapiga story.. Watu kama sita hivi tulikuwa. Mara ghafla katokea vyumbani mwanae mdogo na bastola kaishika vizuri kwa mikono yote kainyanyua juu
Kufika sebuleni kamnyooshea baba yake direct anamwambia kiutani DAD HANDS UP!
Kilichotufanya tujue kuna tatizo ni vile jamaa alivyobadilika ghafla na kutumbua macho yote mawili kama panya aliyebanwa mlangoni
Zilikuwa sekunde kadhaa ngumu sana kwetu sote mke ndani.. Kuna ukimya mkuu wa ghafla ulitawala huku dogo akiendelea kusisitiza baba anyooshe mikono juu
Pona yake ni ujasiri wa house girl aliyetokea kwa nyuma, na kuinua juu zaidi mikono ya dogo na tukasikia paah!
Bastola haikuwa kwenye safety catch.. Rossi ilikula kioo cha dirisha na kupotelea nje!
Dogo hajui nini kimetokea analipa tuu.. Baba mtu kalala chini kaficha macho.. Wageni hatujui kwa hakika ninini hasa kilikuwa kimeleta yote hayo
Mama katoka jikoni mbio
Hali ilipotulia jamaa alilia sana! Tarehe 27 yake mapema asubuhi Jamaa akairudisha silaha polisi Oysterbay
Dada wa kazi ndio alikuwa bingwa wa mchezo
Na shida ya South silaha zimetapakaa kila mahali na udhibiti ni mdogo! Imagine mimi nilinunua kwa Rand 200 miaka ile ya 98.. Kwenye black market lakiniNiliwahi kushuhudia jamaa akiua mke na mtoto wake then na yeye akajimaliza, ilikuwa jhb downtown.
Ilikuwa tar 23 dec, , wa south wanadesturi ya kurudi locations makwao kama wanavyofanya wachaga kipindi cha sikukuu za christmass hapa kwetu, tar hiizo zinakuwaga busy shopping days sasa mshakji wameshuka kwenye gari kali mpya, yeye na mke wake wakaingia maduka kadhaa, sasa nadshni kuliyokea sintofahamu baina yao wakiwa duka flani ndani, mwanamke akatoka nje huku akiwa anamfokea jamaa, jaa kila. akimsihi mkewe apoe nido kama anamzidisha , tukasikia mlio paa,, paa!! Jamaa kaua mkewe ya pili mwanae wa kike, watu walivyomzonga na yeye akajimaliza.
Ndani ya nusu saa, kidude kidogo kimesababisha misiba mitatu kwenye familia moja, niliichukia bastola toka siku hiyo.
VICHAI..........Waswahel wa Pwani waliosema pesa mwanaharamu sijui ninini kiliwapa mpaka kuna na huo usemi
Nijuavyo mimi ukiachana na mengine yote.
Kuna kitu kinaitwa kichaa cha pesa! Pesa inachizisha watu na kuwafanya wendawazimu kabisa! Hata wewe ukizipata utawehuka hasa zikishakuwa nyingi na ziada kwa ajili ya kutimiza matamanio ya kimwili na kudhihirisha ukwasi wengi hujikuta wananunua na kumiliki kifo kwa gharama kubwa!
Kumiliki helicopter ni aina mojawapo ya kudhihirisha mapene mengi uliyonayo.. Maana gharama zake si mchezo kuanzia
Manunuzi
Vibali
Mafuta
Rubani
Service
Ruhusa ya kuruka
Maegesho nknk
Pamoja na usafiri wa ndege kutajwa kama usafiri salama zaidi duniani.. Lakini kwa helicopter ni ngumu kuamini sana hayo yanayosemwa.
Helicopter zimekatisha maisha ya watu wengi maarufu na wenye pesa nyingi. Helicopter haina comfortability yoyote. Hata ukipanda hamuwezi kusikilizana na ni lazima mvae headphones.
Hata kama kuna life jackets lakini msaada wake ni mdogo sana kwakuwa ajali za helicopter hutokea ghafla na bila dalili za kukupa muda wa kujiandaa.
Kwa mshangao mkubwa watu wwnamiliki chombo hiki ambacho kimejaa gharama na usumbufu mwingi. Halafu kifo ni njenje.
Kumiliki helicopter ni sawa na kumiliki kifo kwa gharama kubwa!
Kingine ni kumiliki bastola!
pi?Tajili wa lecter city had Leo hii kimya ,mchezaji basketball wa marekani had Leo hii kiyma,Jose Mornhyo naye alimanusara afunge safari kiufupi uwo si usafiri kabisa
Nipo kule vizuri kabisaWewe leo ndo nimejua kwanini kule jukwaa la siasa walikufukuza 😄😄😄
Hapana mbona ile siku niliona kama wanakushambulia hviNipo kule vizuri kabisa
Kwangu Mimi hapo huyo dada wa kazi ningempandisha cheo haraka kutoka kuwa house girl mpaka msimamizi wa Mambo ya usalama nyumbani na starehe stukiziChristmas ya 2005 nusura igeuke kilio kwenye familia ya mshkaji wetu mmoja
Jamaa alikuwa ana miliki mguu wa kuku.. Ile tar 24 kuqmkia tar 25 akawa kaikoki vema tayari kwa wezi na majambazi( kipindi kile kulikuwa na kuvamiwa vamiwa)
Kaikoki vema kaweka chini ya mto kalala? Asubuhi kuamka zikawa ni harakati za kanisani.. Mchana wake katukaribisha lunch nyumbani kwake
Tukiwa tuko sebuleni pale tunapiga story.. Watu kama sita hivi tulikuwa. Mara ghafla katokea vyumbani mwanae mdogo na bastola kaishika vizuri kwa mikono yote kainyanyua juu
Kufika sebuleni kamnyooshea baba yake direct anamwambia kiutani DAD HANDS UP!
Kilichotufanya tujue kuna tatizo ni vile jamaa alivyobadilika ghafla na kutumbua macho yote mawili kama panya aliyebanwa mlangoni
Zilikuwa sekunde kadhaa ngumu sana kwetu sote mke ndani.. Kuna ukimya mkuu wa ghafla ulitawala huku dogo akiendelea kusisitiza baba anyooshe mikono juu
Pona yake ni ujasiri wa house girl aliyetokea kwa nyuma, na kuinua juu zaidi mikono ya dogo na tukasikia paah!
Bastola haikuwa kwenye safety catch.. Rossi ilikula kioo cha dirisha na kupotelea nje!
Dogo hajui nini kimetokea analipa tuu.. Baba mtu kalala chini kaficha macho.. Wageni hatujui kwa hakika ninini hasa kilikuwa kimeleta yote hayo
Mama katoka jikoni mbio
Hali ilipotulia jamaa alilia sana! Tarehe 27 yake mapema asubuhi Jamaa akairudisha silaha polisi Oysterbay
Dada wa kazi ndio alikuwa bingwa wa mchezo