Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Usithubutu kumkufuru Mungu kamwe!! Narudia tena usithubutu kumkufuru Mungu kamwe!!!
Mmiliki wa meli kubwa kuliko zote ya Titanic ⛵️ alisema: "Hata Mungu hawezi kuizamisha
meli hii”, unajua nini kilitokea? Meli ⛵ ilizama muda mfupi baadaye.
Marilyn Monroe alisema: "Simhitaji YESU", siku 3 baadaye alipatikana amekufa.
Binti mmoja alikuwa anaenda kutalii na marafiki zake kwa gari yao ndogo. Mama yake akamwambia binti yake, "Mungu awe nawe".
Cha ajabu binti akajibu, Kwenye gari Hakuna nafasi. Labda huyo Mungu aingie kwenye buti nyuma ya gari, maana yake hakukuwa na nafasi ndani ya gari isipokuwa kwenye buti. Katika safari yao walipata
ajali mbaya ambapo watu wote waliokuwa ndani ya gari hilo walifariki dunia lakini kwenye buti kulikuwa na Trey ya mayai ikakutwa nzima halikuvunjika yai hata moja. Kumbe ni kweli Mungu alikuwepo kwenye buti.
Baba moja alimwambia mwanawe, "Mungu akulinde", mtoto akasema, "rafiki zangu watanilinda kuliko Mungu", alipokuwa akirudi kutoka kazini kwake risasi iliyopotea ilimuua ambapo
marafiki zake walimtazama tu lakini hawakuweza kumlinda.
Mvulana alikwenda kanisani na kukojoa msalabani akisema "hakuna MUNGU", siku iliyofuata alipoteza mikono yake, na kukiri kuunajisi msalaba wa Yesu.
Mwanaume mmoja alipata ujumbe huu na kuufuta akisema ni nini hiki?!! "Mungu hayupo", mtu huyo aliteseka kwa miaka 8 kabla ya kifo,
Mtu mwingine alipata ujumbe huu na kuusambaza kwa watu wengi iwezekanavyo alipandishwa cheo katika kazi yake.
MUNGU hufungua milango ambayo hakuna awezaye kuifunga. Na kama humhitaji MUNGU puuza ujumbe huu na usiueneze............ 😔
Ujumbe unalenga kuzunguka ulimwengu mzima.
Rais wa Argentina aliupokea ujumbe huu na kuupuuza, baada ya siku 8 mtoto wake alikufa.
Mtu mmoja huko Tanga alimdhulumu mtu fedha milioni moja ya shamba. Baba mmoja akamwambia, wewe humjui Mungu. Huyo mtu akajibu, "Mungu, Mungu ni kitu gani? Hakuna Mungu" Baba akamwambia, basi kama humjui utakutana naye njiani. Alipokuwa kwenye safari zake, akakutana na majambazi wakamuua wakachukua fedha laki tatu tu, laki saba zikabaki kwenye mfuko wa bukta ndani ya suruali. Akakutwa ametupwa porini. Watu wakatoa taarifa ikafahamika kwamba ni yule aliyekufuru.
Ujumbe huu ni mtakatifu na wa miujiza.
Shiriki hii neema kwenye vikundi 5 tofauti vya WhatsApp na andika neno "Amen" Kisha subiri katika siku 5 zijazo utapata jambo la kushangaza. Usipuuze!!!
Baraka itakuja kwako kwa namna ya ajabu ikiwa ni nyumba, ndoa, fedha au kazi.
Usiivunje au kuuliza maswali, huu ni mtihani.
Mmiliki wa meli kubwa kuliko zote ya Titanic ⛵️ alisema: "Hata Mungu hawezi kuizamisha
meli hii”, unajua nini kilitokea? Meli ⛵ ilizama muda mfupi baadaye.
Marilyn Monroe alisema: "Simhitaji YESU", siku 3 baadaye alipatikana amekufa.
Binti mmoja alikuwa anaenda kutalii na marafiki zake kwa gari yao ndogo. Mama yake akamwambia binti yake, "Mungu awe nawe".
Cha ajabu binti akajibu, Kwenye gari Hakuna nafasi. Labda huyo Mungu aingie kwenye buti nyuma ya gari, maana yake hakukuwa na nafasi ndani ya gari isipokuwa kwenye buti. Katika safari yao walipata
ajali mbaya ambapo watu wote waliokuwa ndani ya gari hilo walifariki dunia lakini kwenye buti kulikuwa na Trey ya mayai ikakutwa nzima halikuvunjika yai hata moja. Kumbe ni kweli Mungu alikuwepo kwenye buti.
Baba moja alimwambia mwanawe, "Mungu akulinde", mtoto akasema, "rafiki zangu watanilinda kuliko Mungu", alipokuwa akirudi kutoka kazini kwake risasi iliyopotea ilimuua ambapo
marafiki zake walimtazama tu lakini hawakuweza kumlinda.
Mvulana alikwenda kanisani na kukojoa msalabani akisema "hakuna MUNGU", siku iliyofuata alipoteza mikono yake, na kukiri kuunajisi msalaba wa Yesu.
Mwanaume mmoja alipata ujumbe huu na kuufuta akisema ni nini hiki?!! "Mungu hayupo", mtu huyo aliteseka kwa miaka 8 kabla ya kifo,
Mtu mwingine alipata ujumbe huu na kuusambaza kwa watu wengi iwezekanavyo alipandishwa cheo katika kazi yake.
MUNGU hufungua milango ambayo hakuna awezaye kuifunga. Na kama humhitaji MUNGU puuza ujumbe huu na usiueneze............ 😔
Ujumbe unalenga kuzunguka ulimwengu mzima.
Rais wa Argentina aliupokea ujumbe huu na kuupuuza, baada ya siku 8 mtoto wake alikufa.
Mtu mmoja huko Tanga alimdhulumu mtu fedha milioni moja ya shamba. Baba mmoja akamwambia, wewe humjui Mungu. Huyo mtu akajibu, "Mungu, Mungu ni kitu gani? Hakuna Mungu" Baba akamwambia, basi kama humjui utakutana naye njiani. Alipokuwa kwenye safari zake, akakutana na majambazi wakamuua wakachukua fedha laki tatu tu, laki saba zikabaki kwenye mfuko wa bukta ndani ya suruali. Akakutwa ametupwa porini. Watu wakatoa taarifa ikafahamika kwamba ni yule aliyekufuru.
Ujumbe huu ni mtakatifu na wa miujiza.
Shiriki hii neema kwenye vikundi 5 tofauti vya WhatsApp na andika neno "Amen" Kisha subiri katika siku 5 zijazo utapata jambo la kushangaza. Usipuuze!!!
Baraka itakuja kwako kwa namna ya ajabu ikiwa ni nyumba, ndoa, fedha au kazi.
Usiivunje au kuuliza maswali, huu ni mtihani.