Gharama za kumpeleka Malisa Kilimanjaro zingetosha kuzikisha familia 5 zikizoathirika Kwa Mvua Kwa mwezi Mzima

Gharama za kumpeleka Malisa Kilimanjaro zingetosha kuzikisha familia 5 zikizoathirika Kwa Mvua Kwa mwezi Mzima

Joined
Feb 22, 2024
Posts
10
Reaction score
10
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar esSalaam,imemsafirisha Godlista Malisa kwenda nyumbani kwao Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi,baada ya kudaiwa kuandika uchochezi katika mitandao ya kijamii.

Kwa vyovyote vile Kwa umaarufi wa Malisa Polisi ni lazima watachukua tahadhari ya usalama wao na wake pale watakapokuwa wanasafiri nae.

Gharama za kumsafurisha Kwa makadirio yasiyo rasmi yanahusisha gari,dereva na askari wasiopungua wawili

Hawa askari watalipwa fedha za kujikimu safarini na Kwa muongozo wa malipo ya serikali fedha ya chini Kwa mtu mmoja haipungui shilingi 100,000

Watu Hawa watatu watalipwa night Kati ya mbili mpaka,ikiwa watalipwa night tatu Kwa 100,000 basi akari mmoja atalipwa laki 3 na wote watatu watalipwa si chini ya 900,000

Ukiongeza na gharama za mafuta kwenye kilometa 1160 watatumia si chini ya shilingi 800,000

Jumla ya fedha hizi zinaweza zisipungue 1,700,000

Gharama hizi zingeweza kuwasaidia waaathirika wa mafuriko wa familia 5-10 Kwa muda wa wiki mbili wakiwa wanakula nankujigaragaza bila shida yoyote,Kwa kuwa tathmini ya kumlisha mtu mmoja Chakula Cha wanga haizidi gram 400
Asante Kwa kuwakilisha
 

Attachments

  • VID-20240423-WA0525.mp4
    19.3 MB
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar esSalaam,imemsafirisha Godlista Malisa kwenda nyumbani kwao Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi,baada ya kudaiwa kuandika uchochezi katika mitandao ya kijamii.

Kwa vyovyote vile Kwa umaarufi wa Malisa Polisi ni lazima watachukua tahadhari ya usalama wao na wake pale watakapokuwa wanasafiri nae.

Gharama za kumsafurisha Kwa makadirio yasiyo rasmi yanahusisha gari,dereva na askari wasiopungua wawili

Hawa askari watalipwa fedha za kujikimu safarini na Kwa muongozo wa malipo ya serikali fedha ya chini Kwa mtu mmoja haipungui shilingi 100,000

Watu Hawa watatu watalipwa night Kati ya mbili mpaka,ikiwa watalipwa night tatu Kwa 100,000 basi akari mmoja atalipwa laki 3 na wote watatu watalipwa si chini ya 900,000

Ukiongeza na gharama za mafuta kwenye kilometa 1160 watatumia si chini ya shilingi 800,000

Jumla ya fedha hizi zinaweza zisipungue 1,700,000

Gharama hizi zingeweza kuwasaidia waaathirika wa mafuriko wa familia 5-10 Kwa muda wa wiki mbili wakiwa wanakula nankujigaragaza bila shida yoyote,Kwa kuwa tathmini ya kumlisha mtu mmoja Chakula Cha wanga haizidi gram 400
Asante Kwa kuwakilisha
Trump alisema nchi za Africa zinahitaji kutawaliwa tena. Huyo mzee alikuwa sawa. Tanzania hatujua scale of preference. Pesa IPO lakin je, tutaitumia VIP?

Kuna pesa inaibiwa na watu tu ambao wanasema ni viongoz. Lakin ingeweza kujenga barabara, na mashule.

Kuna pesa inanunua magari ya wakuu wa mikoa, wilaya lakin ingeweza kutumika kujenga mahospitali makubwa.

Kuna pesa wanapewa wapinzani waandamane. Lakin ingeweza kununua vifaa vya kupima madini chini ya ardhi na vijana wakapata uchumi. Nchi hii , tumejaza viongoz wasiojitambua.
 
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar esSalaam,imemsafirisha Godlista Malisa kwenda nyumbani kwao Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi,baada ya kudaiwa kuandika uchochezi katika mitandao ya kijamii.

Kwa vyovyote vile Kwa umaarufi wa Malisa Polisi ni lazima watachukua tahadhari ya usalama wao na wake pale watakapokuwa wanasafiri nae.

Gharama za kumsafurisha Kwa makadirio yasiyo rasmi yanahusisha gari,dereva na askari wasiopungua wawili

Hawa askari watalipwa fedha za kujikimu safarini na Kwa muongozo wa malipo ya serikali fedha ya chini Kwa mtu mmoja haipungui shilingi 100,000

Watu Hawa watatu watalipwa night Kati ya mbili mpaka,ikiwa watalipwa night tatu Kwa 100,000 basi akari mmoja atalipwa laki 3 na wote watatu watalipwa si chini ya 900,000

Ukiongeza na gharama za mafuta kwenye kilometa 1160 watatumia si chini ya shilingi 800,000

Jumla ya fedha hizi zinaweza zisipungue 1,700,000

Gharama hizi zingeweza kuwasaidia waaathirika wa mafuriko wa familia 5-10 Kwa muda wa wiki mbili wakiwa wanakula nankujigaragaza bila shida yoyote,Kwa kuwa tathmini ya kumlisha mtu mmoja Chakula Cha wanga haizidi gram 400
Asante Kwa kuwakilisha
Kesi hii inafanana Sana na Ile Kesi ya kipuuzi aliyofunguliwa Shehe Ponda kule Morogoro miaka Ile ya nyuma, Jeshi la Polisi lilitumia kiholela fedha nyinyi Sana kuendesha ile Kesi sambamba na kutumia vibaya Sana rasilimali za Jeshi la Polisi ikiwamo Silaha, magari na helikopta.
 
Hili jeshi la polisi halina tofauti na lile jeshi la Mkoloni. Nipeni nchi basi hata kwa miaka 5 tu ili niufumue huu uozo wote.
 
viongozi wa africa
 

Attachments

  • FB_IMG_1713503074755.jpg
    FB_IMG_1713503074755.jpg
    46.7 KB · Views: 3
Na siku zinavyozidi kwenda ndivyo tunazidi kuingia gizani
 
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar esSalaam,imemsafirisha Godlista Malisa kwenda nyumbani kwao Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi,baada ya kudaiwa kuandika uchochezi katika mitandao ya kijamii.

Kwa vyovyote vile Kwa umaarufi wa Malisa Polisi ni lazima watachukua tahadhari ya usalama wao na wake pale watakapokuwa wanasafiri nae.

Gharama za kumsafurisha Kwa makadirio yasiyo rasmi yanahusisha gari,dereva na askari wasiopungua wawili

Hawa askari watalipwa fedha za kujikimu safarini na Kwa muongozo wa malipo ya serikali fedha ya chini Kwa mtu mmoja haipungui shilingi 100,000

Watu Hawa watatu watalipwa night Kati ya mbili mpaka,ikiwa watalipwa night tatu Kwa 100,000 basi akari mmoja atalipwa laki 3 na wote watatu watalipwa si chini ya 900,000

Ukiongeza na gharama za mafuta kwenye kilometa 1160 watatumia si chini ya shilingi 800,000

Jumla ya fedha hizi zinaweza zisipungue 1,700,000

Gharama hizi zingeweza kuwasaidia waaathirika wa mafuriko wa familia 5-10 Kwa muda wa wiki mbili wakiwa wanakula nankujigaragaza bila shida yoyote,Kwa kuwa tathmini ya kumlisha mtu mmoja Chakula Cha wanga haizidi gram 400
Asante Kwa kuwakilisha
Gharama ya uchochezi ni kubwa zaidi kuliko hizo gharama unazodai
 
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar esSalaam,imemsafirisha Godlista Malisa kwenda nyumbani kwao Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi,baada ya kudaiwa kuandika uchochezi katika mitandao ya kijamii.

Kwa vyovyote vile Kwa umaarufi wa Malisa Polisi ni lazima watachukua tahadhari ya usalama wao na wake pale watakapokuwa wanasafiri nae.

Gharama za kumsafurisha Kwa makadirio yasiyo rasmi yanahusisha gari,dereva na askari wasiopungua wawili

Hawa askari watalipwa fedha za kujikimu safarini na Kwa muongozo wa malipo ya serikali fedha ya chini Kwa mtu mmoja haipungui shilingi 100,000

Watu Hawa watatu watalipwa night Kati ya mbili mpaka,ikiwa watalipwa night tatu Kwa 100,000 basi akari mmoja atalipwa laki 3 na wote watatu watalipwa si chini ya 900,000

Ukiongeza na gharama za mafuta kwenye kilometa 1160 watatumia si chini ya shilingi 800,000

Jumla ya fedha hizi zinaweza zisipungue 1,700,000

Gharama hizi zingeweza kuwasaidia waaathirika wa mafuriko wa familia 5-10 Kwa muda wa wiki mbili wakiwa wanakula nankujigaragaza bila shida yoyote,Kwa kuwa tathmini ya kumlisha mtu mmoja Chakula Cha wanga haizidi gram 400
Asante Kwa kuwakilisha
gharama ya pesa haina maana yoyote kwenye kuzua taarifa ghushi dhidi ya utu wa mtu na uchonganishi ambao unaweza kuibua chuki na uhasama miongoni mwa wanaFamilia au wananchi dhidi ya taasisi na vyombo mbalimbali vya ulinzi na usalama.

amani na Utulivu kwa mama Tanzania italindwa kwa gharama yoyote ile, dhidi ya chokochoko za wazandiki wa aina yoyote ile , iwe kutoka humuhumu ndani au nje ya nchi 🐒

that one should be clear to everybody 🐒
 
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar esSalaam,imemsafirisha Godlista Malisa kwenda nyumbani kwao Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi,baada ya kudaiwa kuandika uchochezi katika mitandao ya kijamii.

Kwa vyovyote vile Kwa umaarufi wa Malisa Polisi ni lazima watachukua tahadhari ya usalama wao na wake pale watakapokuwa wanasafiri nae.

Gharama za kumsafurisha Kwa makadirio yasiyo rasmi yanahusisha gari,dereva na askari wasiopungua wawili

Hawa askari watalipwa fedha za kujikimu safarini na Kwa muongozo wa malipo ya serikali fedha ya chini Kwa mtu mmoja haipungui shilingi 100,000

Watu Hawa watatu watalipwa night Kati ya mbili mpaka,ikiwa watalipwa night tatu Kwa 100,000 basi akari mmoja atalipwa laki 3 na wote watatu watalipwa si chini ya 900,000

Ukiongeza na gharama za mafuta kwenye kilometa 1160 watatumia si chini ya shilingi 800,000

Jumla ya fedha hizi zinaweza zisipungue 1,700,000

Gharama hizi zingeweza kuwasaidia waaathirika wa mafuriko wa familia 5-10 Kwa muda wa wiki mbili wakiwa wanakula nankujigaragaza bila shida yoyote,Kwa kuwa tathmini ya kumlisha mtu mmoja Chakula Cha wanga haizidi gram 400
Asante Kwa kuwakilisha
Hii nchi inaongozwa na wajinga
 
Back
Top Bottom