Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

unapaswa utumie akili mzee ana miaka 97 amezeeka hana kumbukumbu hata ya mtu, hawezi chochote cha kufanya, mnapigania kwa gharama kubwa aishi.... ikiwa siku zake zimefika ukingoni ili iweje sasa? badala ya kupambana sasa kusaidia hawa ambao wana umria mbao angalau kama wakiishi wanaweza endelea na ujenzi wa taifa na familia. acheni unafiki nyie watu. kuna umri ukifika kifo kitakuja tu hata kwa kuwekewa mashine ya kupumua.... mtu anashinda ICU amewekewa mashine ya kupumulia. mnalipia pesa nyingi mpaka lini?ili iweje? tulishampeleka India wakasema umri umeenda kuna matibabu hawezi pewa tena, kuna dawa hazimfai ...mnataka tuendelee kuhudumia nini? HUO NI UNAFIQ TU UMEWAJAAUna roho mbaya sana
maelezo miiiiiiiiiingi hujajibu swali langu kwamba jiweke wewe mahala pake ungefanyeje.

" Everybuddy wanna go to heaven but no one wants to dieeeee" "peter tosh ( the wailers)
 
Mimi mpaka hapo sijaona ustaarabu wako pia. Mimi nimeongea uhalisia ulivyo. Kila mtu ni mzee na marehemu mtarajiwa. So hi haitoi kibali cha mtu kuwa mnafiki na mpuuzi. Kuna haja gani kutumia chakula cha wazima kumpa mtu ambaye hatoweza kuwa mzima? Wafe wote? Miaka 90 plus unadhani ni michache? Na hali yake si nzuri. Unadhani kuna mtu ataishi milele?
We jamaa inaonyesha Una roho mbaya tu,we kipindi unakunywa mpka unajua wazazi wako wangesema wamekuchoka ungefika apo Acha kufikiria Kwa mkund*** wewe hlf jiheshimu mambo mengne inabd uwe mwanaume Tu ndo maana ukazaliwa mwanaume astaghafilulahi!!!
 
Na Mola wako Mlezi ameamrisha kuwa msimuabudu yeyote ila Yeye tu na wazazi wawili muwatendee wema. Mmoja wao akifikia uzee, naye yuko kwako, au wote wawili, basi usimwambie hata: Ah! Wala usiwakemee. Na sema nao kwa msemo wa heshima

Hii ni Qur'an inatuamrisha haya
Kumbuka wewe ulivokuwa mtoto huenda ulikuwa msumbufu sana ila wazazi wako walikuvumilia iweje leo wewe huwezi kumvumilia mzazi wako?

Yawezekana angekuwa tajiri mkubwa tu lakini alisacrifice akakulea wewe kwa pesa zake leo hii iweje yeye ndio sababu ya wewe kupatikana lakini unamdhalilisha kiasi hiki.

Najivunia kuwa Muislamu kwani Uislamu umetufunza yote haya.
Jamaa ni mpumbavu, Mungu alivyo wa ajabu anaweza kufa na kweli wewe ukamzika lkn wewe ukaugua miaka hautoki chini sasa sijui anafikiria nini
 
Ungekuwa ni wewe ndio umekuwa Mzee namna hiyo ungekubali kufa kisenge tuanzie hapa na swali hilo
 
Mkuu.. wewe huujui uislamu kuliko mimi. Ungenyamaza tu ili usije leta mjadala wa kidini hapa. Mimi toka babu yangu alikuwa sheikh, mufti na alhaj.

Wewe maamuma tu unataka jifanya unaifahamu dini na mistari ya kukariri kuliko watu wenye uelewa wa dini? Acha huo upuuzi hapa tunaongea kisomi siyo kimaamuma.
Sasa kumbe ulikuwa na majibu yako kichwani takutaka kumuua baba yako kwa kisingizio cha yeye ni mzee unaona kama anakufilisi sasa mjadala huu umeuleta huku wanini???

Nachokiona ni kuwa Mungu amekuleta huku ili ibaki ushuhuda mara baada ya kumaliza kazi yako ya kumuua baba yako aliyeteseka na wewe ili usome ,yeye kuwa masikini ili wewe utajirike, nasema hivi siku ukikamilisha hilo rudi kusoma tena ujumbe huu na nafsi itakusuta,

Quraan inathibitisha kuwa kwa lile umfanyialo mwezio na wewe utafanyiwa( kamatadinu tudani) hivyo ukisha Muua na wewe pia utauawa kwa style hiyo hiyo, tena yawezekana usiwe nzee, no ukiwa kijana hivyo hivyo , utaumwa hata kansa tu na haina dawa, utafikisika na watoto wako watachoka watakuua kama utakavyo kufanya sasa kwa baba yako,

My take
Muuguze mzee hadi pale Mungu atakapo taka kumchukua muda wake ukifika
 
Yote hii inasababishwa na umaskini. Juzi naongea na jamaa yangu wa Katavi, anasema mzee aliugua wameuza mpaka ng'ombe 100 wamezunguka hospital zote kubwa kubwa kutafuta uzima wa mzee wao. Gharama ikaja jumla 36m hatimaye Mungu akamchukua. Sema ni matajiri wa ng'ombe, mzee wao alikuwa na ng'ombe 12k. Sasa hili kapuku linazidiwa mawazo na Msukuma!
 
unapaswa utumie akili mzee ana miaka 97 amezeeka hana kumbukumbu hata ya mtu, hawezi chochote cha kufanya, mnapigania kwa gharama kubwa aishi.... ikiwa siku zake zimefika ukingoni ili iweje sasa? badala ya kupambana sasa kusaidia hawa ambao wana umria mbao angalau kama wakiishi wanaweza endelea na ujenzi wa taifa na familia. acheni unafiki nyie watu. kuna umri ukifika kifo kitakuja tu hata kwa kuwekewa mashine ya kupumua.... mtu anashinda ICU amewekewa mashine ya kupumulia. mnalipia pesa nyingi mpaka lini?ili iweje? tulishampeleka India wakasema umri umeenda kuna matibabu hawezi pewa tena, kuna dawa hazimfai ...mnataka tuendelee kuhudumia nini? HUO NI UNAFIQ TU UMEWAJAAUna roho mbaya sana
Sio aishi kuishi ni jukumu la Mungu.
Unapigania kupona kwake.
 
Sio aishi kuishi ni jukumu la Mungu.
Unapigania kupona kwake.
Madaktari wameshakuambiakuwa umri wake kwa magonjwa yake hawezi pewa matibabu aina flani. so ni kukaa tu kusubiri uponyaji
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Ndio vijana wa sasa hivi walivyo
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
....Wewe ni Mtoto wake kweli wa Kumzaa ....Ama ni Baba wa Mke wako ??
Unuombea Baba Yako Mzazi afe ???
Unakumbuka kuwa bila yeye kutingisha Kiuno chake wewe usingekuwepo Duniani...Ukimtakia Afe ? Unajua kwamba unaweza kufa kabla yake, Ukapumzika Salama malalamiko Yako ??? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
....Wewe ni Mtoto wake kweli wa Kumzaa ....Ama ni Baba wa Mke wako ??
Unuombea Baba Yako Mzazi afe ???
Unakumbuka kuwa bila yeye kutingisha Kiuno chake wewe usingekuwepo Duniani...Ukimtakia Afe ? Unajua kwamba unaweza kufa kabla yake, Ukapumzika Salama malalamiko Yako ??? [emoji848][emoji848][emoji848]
usinitishe, tena nasema usinitishe.
 
Back
Top Bottom