Gharama za kupata visa na master card

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
1,503
Reaction score
2,426
Habari wandugu, poleni na mihangaiko.

Kusudio langu kwa wale wanaofahamu gharama ya kupata CRDB visa or master card inagharimu sh ngapi. Lengo ni kufanya malipo ya nje ya nchi na pia kuunganishwa na pay pal, skrill, netteler na zingine therefore kwa anaejua.

Msaada please thank you all.
 

Pia angalia ya BancABC, unaipata maramoja na inaanza kufanya kazi ndani ya masaa mawili. Gharama yake ni kama shilingi elfu arobaini na tano hivi kwa akaunti ya shilingi kama sikosei. Waweza ipata kwa dola, euro, gbp n.k

Na kama unatuma pesa toka Skrill au mobile wallet ninyine yeyote kuja kwenye kadi, pesa unaipata ndani ya siku mbili mpaka tatu, na utaepuka gharama za inward TT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…