Gharama za kuskimu nyumba hii

emanoti415

Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
36
Reaction score
16
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, public toilet, dining, sebure na stoo . Ina urefu wa 10.6m na upana wa 9m, vyumba vyote vinaukubwa wa 9 sqm. Naomba mchanganua wake, gypsum powder zitahitajika ngapi, rangi ya naji nyeupe ndoo ngapi, white cement kwa skimming ya kuta za nje ngapi, whether guard ndoo ngapi na silk ndoo ngapi, naomba kuwasilisha. bila kusahau gharama za plastering ndani na nje.

 
Hii yako au unataka kuinunua kama ilivyo?
 
Kama unataka ku save gharama ya skimming nje ..unaweza ukaskim kwa kutumia cement badala ya porder, au izo wall puty
 
Binadamu mnapenda kutafuta show za ajabu ajabu tu. Kwani uko kwenu hakunaga wataalamu wa kufanya kazi hii!
 
Binadamu mnapenda kutafuta show za ajabu ajabu tu. Kwani uko kwenu hakunaga wataalamu wa kufanya kazi hii!
Hujalazimishwa kucomment bro , jf ni sehemu ya kujifunza na kubadilishana ideas zenye manufaa, kuliko kuingia kichwa kichwa ukajikuta unapata hasara za ajabu. Kama huna msaada kaa kimya hujalazimishwa kucomment bro.
 
ya nn sasa mavitu yot hayo
chkua wall puty.ni maji tu.mfuko sq 25.
 
Tafuta fundi akupgie hesabu! Naona bati zishapauka kbla ya nyumba kuisha.
Hivi watu hua hamjua maana ya mtu kutafuta uelewa binafsi kwa majadiliano au vipi ?! Ndio jamaa atatafuta fundi wa kumpigia hesabu ila yeye kuleta hapa ni ili kupanua uelewa wake kabla ya kukutana na huyo fundi au hata baada ya kukutana nae. Sasa kama kila kitu ni kuuliza tu fundi uko wapi umuhimu wa jukwaa hili la ujenzi ?! Si lifutwe tutakua tunauliza mafundi. WaTanzania wenzangu wengi mapoyoyo sana.
 
Binadamu mnapenda kutafuta show za ajabu ajabu tu. Kwani uko kwenu hakunaga wataalamu wa kufanya kazi hii!
Hivi watu hua hamjua maana ya mtu kutafuta uelewa binafsi kwa majadiliano au vipi ?! Ndio jamaa atatafuta fundi wa kumpigia hesabu ila yeye kuleta hapa ni ili kupanua uelewa wake kabla ya kukutana na huyo fundi au hata baada ya kukutana nae. Sasa kama kila kitu ni kuuliza tu fundi uko wapi umuhimu wa jukwaa hili la ujenzi ?! Si lifutwe tutakua tunauliza mafundi. WaTanzania wenzangu wengi mapoyoyo sana.
 
Nasubiria majibu maana na mimi naamini yatanifaa....mafundi tusaidieni please
 
Vijana mnaoishi kwa shemeji zenu au anko zenu mna wivu wa kike sana. Mkuu achana nae wanakaa vyumba vya uani
 
Kaka hapo tafuta white cement kumi na ndoo za rangi emulsion yan skiming undercoat kumi na mbili na gypsum powder brand andika made in Thailand tano kuhusu rangi za finishing ambazo ndo silk ndoo tatu zinatosha hii ni hesabu ya kwa ndani ,kwa nje white cement tano na rangi za emulsion sita rangi za finishing ndoo.mbili nje zinamaliza hayo magril.kopo tatu.za rangi ya mafuta na solvent litre tano msasa mita 20 nje na ndani kuhusu hesabu ya plasta sinauzoefu nayo maana Mimi ni fund rangi asante karibu kwa huduma call/wasup 0757735884
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…