BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Habari wakuu,
Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa kujua uzoefu wenu kama zipo sawa mana nadhani mnajua hapa mjini ujanja ujanja mwingi. Gharama hizo ni; Shipping lines 150,000 Wharfage 115,000 Port charges 250,000 Plate number 50,000 na Agency fee ni 300,000
Naombeni uzoefu wenu wakuu
Kuna kibaby walker niliagiza, sasa kimefika. Nimeongea na kampuni ya clearing wamenipa hizi gharama ukiachana na kodi ya TRA ambayo naweza kuona kwenye system ya TRA, ningependa kujua uzoefu wenu kama zipo sawa mana nadhani mnajua hapa mjini ujanja ujanja mwingi. Gharama hizo ni; Shipping lines 150,000 Wharfage 115,000 Port charges 250,000 Plate number 50,000 na Agency fee ni 300,000
Naombeni uzoefu wenu wakuu