Wanaunda, sehem moja ,inaitwa ,koma kisiwani, kwa ukanda wa pwani _ wilaya ya mkuranga, ila rahisi zaidi, ukifika nyamisati, vuka ma boti, sehem ,inatwa ,sarare, nauli toka hapo nyamisati, kwenda ,huko ,ni 3000_ ila koma ni rahisi zaid, pia mafia zipo sehem nyingi tu, itategemea we ulipo