Gharama za kuunda ngalawa

MR UNINFORMED

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
1,069
Reaction score
1,209
Wanajukwaa nawasalimu.

Hivi gharama za kuunda ngalawa yenye uwezo wa kubeba hadi tani 1 ya mzigo...inaweza kuwa bei gan?? Na ni wapi hasa wanapatikana wahunzi wabobezi katika ukanda wa pwani?!?
 
Wanaunda, sehem moja ,inaitwa ,koma kisiwani, kwa ukanda wa pwani _ wilaya ya mkuranga, ila rahisi zaidi, ukifika nyamisati, vuka ma boti, sehem ,inatwa ,sarare, nauli toka hapo nyamisati, kwenda ,huko ,ni 3000_ ila koma ni rahisi zaid, pia mafia zipo sehem nyingi tu, itategemea we ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…