MR UNINFORMED
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,069
- 1,209
Wanajukwaa nawasalimu.
Hivi gharama za kuunda ngalawa yenye uwezo wa kubeba hadi tani 1 ya mzigo...inaweza kuwa bei gan?? Na ni wapi hasa wanapatikana wahunzi wabobezi katika ukanda wa pwani?!?
Hivi gharama za kuunda ngalawa yenye uwezo wa kubeba hadi tani 1 ya mzigo...inaweza kuwa bei gan?? Na ni wapi hasa wanapatikana wahunzi wabobezi katika ukanda wa pwani?!?