Gharama za Lipa kwa simu mbona zimepanda sana?

Nilitumia tigo lipa no ni ya voda lbd ndo Mana ilipanda ila Hapana mara zote ata nikilipa ivo ilikua ni buku tu
Kwenda mtandao mwingine wanakata sana
 
CCM hawanaga akili. Hilo ndilo jibu. Wameona mapato kwenye mobile money transactions yameshuka sasa wamehamia kwenye lipa namba ili wakamate mapato huko.

Majitu majinga kuwahi kutokea serikalini. Hivi wakati dunia inapambana kutoka kwenye physical cash na kuhamia kwenye digital transactions yenyewe yapo busy ku discourage hio mode of transaction.
 
Kudadeki; mimi nina line ya lipa leo nimetoa laki 495,000/= kwa Wakala wamenichinja 3500 ambapo awali ilikuwa ni free kutoa mara1 kwa siku, hizi Lipa Namba sasa ni rasmi zimekosa maana
 

Yaani ni Upuuzi sana huu wa lipa kwa simu ,ilitakiwa iwe Free maana unalipia bidhaa instead ya cash ,Je wale wanaoswap card sumpermarket wanakatwa malipo ya ziada?
 
Moja ya rafiki zangu wa karibu anafanya biashara hii. Anadai kuwa
"Katika kitu cha kipuuzi katika biashara hii ni kumuunga mteja kifurushi. You may find una wateja watano wote wanasubiri waungwe eti Dk za Jero, mara MBs "
Indeed
 
1100 kwa muamala mmoja ni faida nzur mbona ... mawakal wakubwa kwa siku anaweza fanya hata miamala 100 ya design hiyo so kwa siku akapata 110000

Mkuu unatakaje zaid ya hapo
Utoe 300000 upewe 1100 sio 550 kama sio 600
 
Vitu vingi vimepanda bei kiujumla sasa maisha ni ghali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…