Tigo kivp tena wakati msg yako inasema M-Pesa
Ujanja ujanja against kitu gani? Watanzania ni wavumilivu sana. Serikali ya wendawazimu hii inawachaji sana raia multiple payment kiasi inawafilisi, kwann wasitafute alternative za kujinasua.Watanzania mnapenda ujanjaujanja.
Mawakala waliigeuza hii huduma kama nyumba ndogo.
Sasa mmeshitukiwa
Nimekupata mkuuUjanja ujanja against kitu gani? Watanzania ni wavumilivu sana. Serikali ya wendawazimu hii inawachaji sana raia multiple payment kiasi inawafilisi, kwann wasitafute alternative za kujinasua.
Lipa ya mtandao gani?Kudadeki leo nimetoa laki 495,000/= kwa Wakala wamenichinja 3500 ambapo awali ilikuwa ni free kutoa mara1 kwa siku, hizi Lipa Namba sasa ni rasmi zimekosa maana
Leo nilikuwa natumia huduma ya Lipa kwa simu kupitia voda, nikalipia bidhaa yenye thamani ya elfu 15 nikakatwa sh. 850, kama sijasahau hii huduma hapo mwanzo ilikuwa na lengo la kumsaidia mteja pale anapolipia bidhaa, ilianza kwa mteja kulipia bidhaa bila kukatwa, then wakaja na makato madogo, sahivi yamezidi kuwa makubwa.
Kwa mwendo huu hii Lipa itakuwa na msaada kweli uliokusudiwa ama ndio wameona dili lipo huku baada ya kubanwa na serikali kwenye M-Pesa kwa makato lukuki? Sijajua kwa mitandao mingine, ila nafikiri kama Voda 'mtandao mama' wamepandisha basi na mitandao mingine itapandisha. Cc vodacom
IndeedMoja ya rafiki zangu wa karibu anafanya biashara hii. Anadai kuwa
"Katika kitu cha kipuuzi katika biashara hii ni kumuunga mteja kifurushi. You may find una wateja watano wote wanasubiri waungwe eti Dk za Jero, mara MBs "
Utoe 300000 upewe 1100 sio 550 kama sio 6001100 kwa muamala mmoja ni faida nzur mbona ... mawakal wakubwa kwa siku anaweza fanya hata miamala 100 ya design hiyo so kwa siku akapata 110000
Mkuu unatakaje zaid ya hapo
Mm nalipa kwa kutumia app yao ya mpesa business na sijawah katwa kama nikifanya malipo mara 1 kwa sikuVodacom
kuna shida mahalaVodacom
app iko bomba sanaMm nalipa kwa kutumia app yao ya mpesa business na sijawah katwa kama nikifanya malipo mara 1 kwa siku
Vodacom ni bure ndugu yangu hapa unatupanga, ata leo nimetoaVodacom
Laki 3 camission yake ni 1,500Utoe 300000 upewe 1100 sio 550 kama sio 600