HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wanataka ziwe nyingi ili waanze kula mahela vizuriM-Pesa wenyewe wameona dili maana wanagawa namba za Lipa hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka ziwe nyingi ili waanze kula mahela vizuriM-Pesa wenyewe wameona dili maana wanagawa namba za Lipa hovyo
Sio voda ni mitandao yote ni hivo mkuuVoda wana wanyonya sana mawakala fikiria wakala kawekeza mtaji na mda plus kodi ya fremu na TRA. then mtu akitoa 300,000. Wakala anapata 1,100/ then wao vodacom wanachukua elfu sita na usheee
Ww umefikiria wakubwa na hao wadogo je wanaofanya miamala michache? Alafu hata hao wakubwa sio rahisi hiyo miamala 100 ya kutoa 300k kafungue hiyo biashara na mtaji wako hata mil 50 kama utafikisha hivo kirahisi1100 kwa muamala mmoja ni faida nzur mbona ... mawakal wakubwa kwa siku anaweza fanya hata miamala 100 ya design hiyo so kwa siku akapata 110000
Mkuu unatakaje zaid ya hapo
Wadogo wapambane wawe wakubwa .hakuna excuse katika hilo.mnafikiria faida tuu vp kuhusu security za hela zenu kupitia hiyo mitandaoWw umefikiria wakubwa na hao wadogo je wanaofanya miamala michache? Alafu hata hao wakubwa sio rahisi hiyo miamala 100 ya kutoa 300k kafungue hiyo biashara na mtaji wako hata mil 50 kama utafikisha hivo kirahisi
Teh..hapo kwenye biashara ya maji umeshawahi fanya au!?Hujakamilisha.
Hiyo 1,100 mwisho wa mwezi inakatwa 10% kwa ubatizo wa kodi. Inabaki
1,100-110= 990.
Wakati huo huo ukinunua katoni za maji za 300,000 angalau @5,000 unapata ctn 60 yenye faida ya 60,000 maana ni pc 6x1,000 unapata 6,000 (faida 1,000 gross)
Ni uchaguzi wa muuzaji auze bidhaa nyingine au ahudumie pesa mtandao
Matokeo yake mawakala wanaweka mgomo baridi, wanawajibu wateja
-SINA SALIO
-SINA CASH
-SIMU INA MATATIZO YA PIN NK
Bado kodi hapo makato 10 asilimia1100 kwa muamala mmoja ni faida nzur mbona ... mawakal wakubwa kwa siku anaweza fanya hata miamala 100 ya design hiyo so kwa siku akapata 110000
Mkuu unatakaje zaid ya hapo
Siku hizi hata unauza bange ukiongea na watu vizuri unajipatia lipa namba yako.M-Pesa wenyewe wameona dili maana wanagawa namba za Lipa hovyo
Walivyokuwa wajanja hawaoneshi makato kabla hujatuma, wanakuonesha baada.Airtelmoney nao wamepandisha now n 1,100/= kwa shs elfu hamsini kutoa kwa lipa namba.
KcwWalivyokuwa wajanja hawaoneshi makato kabla hujatuma, wanakuonesha baada.
Mpesa nao kabla ya kutuma wanakuonesha makato ni 0, baada ya kulipia ndio wanakuonesha wamekata.
Unajua kwanini Elion Musk alichezewa zengwe na akina Nape?Leo nilikuwa natumia huduma ya Lipa kwa simu kupitia voda, nikalipia bidhaa yenye thamani ya elfu 12 nikakatwa sh. 850, kama sijasahau hii huduma hapo mwanzo ilikuwa na lengo la kumsaidia mteja pale anapolipia bidhaa, ilianza kwa mteja kulipia bidhaa bila kukatwa, then wakaja na makato madogo, sahivi yamezidi kuwa makubwa.
Kwa mwendo huu hii Lipa itakuwa na msaada kweli uliokusudiwa ama ndio wameona dili lipo huku baada ya kubanwa na serikali kwenye M-Pesa kwa makato lukuki? Sijajua kwa mitandao mingine, ila nafikiri kama Voda 'mtandao mama' wamepandisha basi na mitandao mingine itapandisha. Cc vodacom
Wote wamepandisha mkuuLeo nilikuwa natumia huduma ya Lipa kwa simu kupitia voda, nikalipia bidhaa yenye thamani ya elfu 12 nikakatwa sh. 850, kama sijasahau hii huduma hapo mwanzo ilikuwa na lengo la kumsaidia mteja pale anapolipia bidhaa, ilianza kwa mteja kulipia bidhaa bila kukatwa, then wakaja na makato madogo, sahivi yamezidi kuwa makubwa.
Kwa mwendo huu hii Lipa itakuwa na msaada kweli uliokusudiwa ama ndio wameona dili lipo huku baada ya kubanwa na serikali kwenye M-Pesa kwa makato lukuki? Sijajua kwa mitandao mingine, ila nafikiri kama Voda 'mtandao mama' wamepandisha basi na mitandao mingine itapandisha. Cc vodacom
Kwani viwango vyao vya makato vipoje mkuu naomba nisaidieAirtelmoney nao wamepandisha now n 1,100/= kwa shs elfu hamsini kutoa kwa lipa namba.
Mhh ya kweli hayo?Mi nimeshanga leo nimelipa 10000 nimekatwa 1450 wakati ilikua 1000[emoji2960][emoji2960]View attachment 2717600
Mhh ya kweli hayo?View attachment 2720709