Gharama za Lipa kwa simu mbona zimepanda sana?

Gharama za Lipa kwa simu mbona zimepanda sana?

Bado Cash ni nzuri sana.
Banks na Makampuni ya simu yasipokuwa regulated tutaumia sana
 
Voda wana wanyonya sana mawakala fikiria wakala kawekeza mtaji na mda plus kodi ya fremu na TRA. then mtu akitoa 300,000. Wakala anapata 1,100/ then wao vodacom wanachukua elfu sita na usheee
Sio voda ni mitandao yote ni hivo mkuu
 
1100 kwa muamala mmoja ni faida nzur mbona ... mawakal wakubwa kwa siku anaweza fanya hata miamala 100 ya design hiyo so kwa siku akapata 110000

Mkuu unatakaje zaid ya hapo
Ww umefikiria wakubwa na hao wadogo je wanaofanya miamala michache? Alafu hata hao wakubwa sio rahisi hiyo miamala 100 ya kutoa 300k kafungue hiyo biashara na mtaji wako hata mil 50 kama utafikisha hivo kirahisi
 
Ww umefikiria wakubwa na hao wadogo je wanaofanya miamala michache? Alafu hata hao wakubwa sio rahisi hiyo miamala 100 ya kutoa 300k kafungue hiyo biashara na mtaji wako hata mil 50 kama utafikisha hivo kirahisi
Wadogo wapambane wawe wakubwa .hakuna excuse katika hilo.mnafikiria faida tuu vp kuhusu security za hela zenu kupitia hiyo mitandao

Hakuna slope kwenye biashara yoyote ni mapambano mwanzo mwisho
 
Hujakamilisha.

Hiyo 1,100 mwisho wa mwezi inakatwa 10% kwa ubatizo wa kodi. Inabaki

1,100-110= 990.

Wakati huo huo ukinunua katoni za maji za 300,000 angalau @5,000 unapata ctn 60 yenye faida ya 60,000 maana ni pc 6x1,000 unapata 6,000 (faida 1,000 gross)

Ni uchaguzi wa muuzaji auze bidhaa nyingine au ahudumie pesa mtandao

Matokeo yake mawakala wanaweka mgomo baridi, wanawajibu wateja
-SINA SALIO
-SINA CASH
-SIMU INA MATATIZO YA PIN NK
Teh..hapo kwenye biashara ya maji umeshawahi fanya au!?
 
Airtelmoney nao wamepandisha now n 1,100/= kwa shs elfu hamsini kutoa kwa lipa namba.
Walivyokuwa wajanja hawaoneshi makato kabla hujatuma, wanakuonesha baada.
Mpesa nao kabla ya kutuma wanakuonesha makato ni 0, baada ya kulipia ndio wanakuonesha wamekata.
 
Tigo nao wameshalingana na kakayao M-Pesa[emoji16][emoji16]
 
Kiukweli wanao miliki mitandao ya simu ni matajiri wakubwa sana .serikali inatakiwa kufanya reform huu unyonyaji wao
 
Leo nilikuwa natumia huduma ya Lipa kwa simu kupitia voda, nikalipia bidhaa yenye thamani ya elfu 12 nikakatwa sh. 850, kama sijasahau hii huduma hapo mwanzo ilikuwa na lengo la kumsaidia mteja pale anapolipia bidhaa, ilianza kwa mteja kulipia bidhaa bila kukatwa, then wakaja na makato madogo, sahivi yamezidi kuwa makubwa.

Kwa mwendo huu hii Lipa itakuwa na msaada kweli uliokusudiwa ama ndio wameona dili lipo huku baada ya kubanwa na serikali kwenye M-Pesa kwa makato lukuki? Sijajua kwa mitandao mingine, ila nafikiri kama Voda 'mtandao mama' wamepandisha basi na mitandao mingine itapandisha. Cc vodacom
Unajua kwanini Elion Musk alichezewa zengwe na akina Nape?
 
Walis
Leo nilikuwa natumia huduma ya Lipa kwa simu kupitia voda, nikalipia bidhaa yenye thamani ya elfu 12 nikakatwa sh. 850, kama sijasahau hii huduma hapo mwanzo ilikuwa na lengo la kumsaidia mteja pale anapolipia bidhaa, ilianza kwa mteja kulipia bidhaa bila kukatwa, then wakaja na makato madogo, sahivi yamezidi kuwa makubwa.

Kwa mwendo huu hii Lipa itakuwa na msaada kweli uliokusudiwa ama ndio wameona dili lipo huku baada ya kubanwa na serikali kwenye M-Pesa kwa makato lukuki? Sijajua kwa mitandao mingine, ila nafikiri kama Voda 'mtandao mama' wamepandisha basi na mitandao mingine itapandisha. Cc vodacom
Wote wamepandisha mkuu
 
Mi nimeshanga leo nimelipa 10000 nimekatwa 1450 wakati ilikua 1000[emoji2960][emoji2960]
IMG_4036.jpg
 
Back
Top Bottom