Gharama za Maandalizi ya Mechi ya Star vs Chad analipa nani?

Gharama za Maandalizi ya Mechi ya Star vs Chad analipa nani?

Powder

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2016
Posts
4,977
Reaction score
6,635
Wakuu nimemsikia Aden Rage akisema CAF watalipa gharama zote kwa TFF, najiuliza gharama hizi zitalipwa kwa pesa ipi? Hii ya fine ilopigwa Chad $20,000? Mbona Ni pesa ndogo? Au CAF huwa Ina mfuko maalumu kwa fidia hizi?
 
Back
Top Bottom