Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Vipo vyuo, hadi online course zipo nyingi.Hivi wapi wanafundisha kichina tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipo vyuo, hadi online course zipo nyingi.Hivi wapi wanafundisha kichina tanzania
Ukiacha udsm Chuo kipi kaka maana maisha yamenipiga kishenzi na degree yangu hapa🤣naona labda nikasomee kichina niwe Ata translatorVipo vyuo, hadi online course zipo nyingi.
Vipo vyuo, hadi online course zipo nyingi.
Zipo mzee, cheki Udemy, au online Chinese language courses.Sas online courses mzee hizo hapana Ata concentration na kuuliza maswali, kukosoana hakuna hapo si ni kusikiliza tu au ndio online course za live bile chenga
Kwa darasa daslam napata wapiZipo mzee, cheki Udemy, au online Chinese language courses.
Una lipia au zile za live bure baadhi.
Labda niongee na mtu, ani juze. Aki niambia niku cheki.Kwa darasa daslam napata wapi
Sawa mwanangu utanicheki nijue, Nimechek hii ya online naona kama bado, atleast nikipata Ata table teaching itakua mzuka sanaLabda niongee na mtu, ani juze. Aki niambia niku cheki.
Namcheki, Kisha nakurudiaSawa mwanangu utanicheki nijue, Nimechek hii ya online naona kama bado, atleast nikipata Ata table teaching itakua mzuka sana
Aina noma boss jobless pro utanipa mrejeshoNamcheki, Kisha nakurudia
Bolotoba njoo nikuajiri uwe unanikata kucha kila jumamosi.Ukiacha udsm Chuo kipi kaka maana maisha yamenipiga kishenzi na degree yangu hapa🤣naona labda nikasomee kichina niwe Ata translator
Mbona una masihara mkuu! Ujue watu tunasaka michongo kweli babuBolotoba njoo nikuajiri uwe unanikata kucha kila jumamosi.
Mshahara ni mnono, kuna marupurupu.
hiyo hela ya ada, unge fanya Cha maana.Ukiacha udsm Chuo kipi kaka maana maisha yamenipiga kishenzi na degree yangu hapa🤣naona labda nikasomee kichina niwe Ata translator
Be cautioned, anti pain huyoMbona una masihara mkuu! Ujue watu tunasaka michongo kweli babu
Matusi yame Anza lini??, huo u boss wa wapi??Aina noma boss jobless pro utanipa mrejesho
Kama uko serious tufanye kweli.Mbona una masihara mkuu! Ujue watu tunasaka michongo kweli babu
Ananijua vizuri tu. Tuliza kijambio mkuu.Be cautioned, anti pain huyo
Sasa wewe si ni mkuu wa faculty ya watu sio na kazi hapa mjini jfMatusi yame Anza lini??, huo u boss wa wapi??
Matusi si mazuri, usiku wa manane ni mzuri kwa ibada na tafakuri.Ananijua vizuri tu. Tuliza kijambio mkuu.
Oya baba umenena haswaMatusi si mazuri, usiku wa manane ni mzuri kwa ibada na tafakuri.