Gharama za mapokezi ya Rais Obama

Baba Watoto

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2010
Posts
393
Reaction score
277
Wanajamvi,
Habarini za jioni, mimi ni mmojawapo wa wananchi aliyekaidi agizo la Bw. Membe kwa kuwa nililazimika kuleta nyanya zangu tka shamba. Sijabahatika sana kuona msafara wala video ila niliguswa na kitendo cha upigaji deki wa barabara zetu na usafi mzuri, naomba mnisaidie kama kuna anayejua japo makadirio ya gharama za kumpokea mgeni huyu na wenzake japo makadirio tuu.
Nawasilisha.
 
Billion 172 fedha za kujenga zahanati 384 ,au tungekula wali taifa zima siku hiyo tusingelala na njaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Billion 172 fedha za kujenga zahanati 384 ,au tungekula wali taifa zima siku hiyo tusingelala na njaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kaka hizo ni pesa za ziara nzima ya Obama toka Senegal, South Africa hadi Tanzania, na kwa sababu za usalama ziara ya Mikumi National Park ilifutwa!! Sisi pesa tulizotumia hazijulikani labda kama serikali sikivu ya CCM itakuja na takwimu sahihi ya gharama ambazo serikali imeingia kuhudumia ugeni huo!!
 
Sisi wengine tulikuwa mgodini hatukufanikiwa kuuona msafara, mwenye picha tafazali za msafara na ma limosini aweke hapa tafazali tena ili tuweze na sisi kufanya tasmini.
 
cha muhimu ni kuuliza hizo pesa zimetoka wap? wakati bajeti inapopitishwa hakuna fungu lililopitishwa la mapokezi wa wageni wa kitaifa
 

hembu fikiria kidogo,senegal south Africa tu gharamie sisi?obama burget ya safari zake touring and exploting africa was tillioni 10 za kitanzania na sisi tulitumia billioni 172 kumkaribisha tu ujio wake ,i know what am talking about
 
cha muhimu ni kuuliza hizo pesa zimetoka wap? wakati bajeti inapopitishwa hakuna fungu lililopitishwa la mapokezi wa wageni wa kitaifa

Aisee laiti angeendelea kukaaa japo masaa 24 TUNGEPIGA DEKI BAHARI
 
Pesa za gharama zilikopwa marekani na tutazilipa kwa kodi zetu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hembu fikiria kidogo,senegal south Africa tu gharamie sisi?obama burget ya safari zake touring and exploting africa was tillioni 10 za kitanzania na sisi tulitumia billioni 172 kumkaribisha tu ujio wake ,i know what am talking about

Kiongozi hizo bilion!! Serikali ya marekani ndo ilihusika! Kuzitayarisha! Cio serikali yetu!! Hata kukodi Hotel zote ilikuwa ni gharama zao!!!
 
Hadi leo watumishi wengi sana wa halmashauri zote,walimu,hawajalipwa mshahara wa June!Kisa.....!pesa zimetumika kwa Obama,wanasubiri wakusanye angalau week 2 ndipo walipe!aibu!!pia wastaafu walitakiwa walipwe End June pesa yao ya kila miezi 3 nao hawajalipwa!sababu hiyo hiyo pesa imetumika kwa Obama!
 
Kiongozi hizo bilion!! Serikali ya marekani ndo ilihusika! Kuzitayarisha! Cio serikali yetu!! Hata kukodi Hotel zote ilikuwa ni gharama zao!!!

Haina tofauti na kupiga hesabu unazokula kwa siku, ukagundua kwamba unatumia pesa nyingi ukaamua kufunga. Obvious hela iliyotumika ni ile hela wanyowapa wenyewe.
 
Sisi wengine tulikuwa mgodini hatukufanikiwa kuuona msafara, mwenye picha tafazali za msafara na ma limosini aweke hapa tafazali tena ili tuweze na sisi kufanya tasmini.

Zipo fedha za dharula bana .
 
cha muhimu ni kuuliza hizo pesa zimetoka wap? wakati bajeti inapopitishwa hakuna fungu lililopitishwa la mapokezi wa wageni wa kitaifa

labda wamechuta billion kadhaa ktk hela za mazish ya viongozi walizotenga.
 
Mwekunduu, ikuly ya marekani imetumia Kati ya dola za marekani 70-100 milioni kwa ziara ya Obama Africa, na wamarekani wachache wakawa wanalalamika iweje atumie pesa nyingi hivyo kwa wiki wakati misaada halisi kwa Africa ameipunguza toka dola bilioni 9 hadi 7 na ushee. I know what I'm talking about
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…