kifarukifaru
New Member
- Feb 19, 2015
- 1
- 0
pole sana kaka. njja rahisi ni kuvisit website za hospital zenye reputation nzuri india.. kama apollo, agakhan, narayana health city etc..
then uwasiliane nao kwa e mail ukiomba maelekezo kuhusu mgonjwa wako.
kuwarahisishia kazi. ni vizuri ku attach report za ugonjwa wake za hospital za bongo, majibu ya vipimo alivyopimwa bongo.. ili waweze kupata mwanga na kukupa right cost za matibabu yao kwa mgonjwa wako
Nje ya maada ila kitatubariki wote regency hospital wapo ki maslahi zaidi wanampasua mtu wanaaema wanaenda kupima kinyama cha mtu nairobi for ten days....kweli???? Kwann wasiache wakamtrasfer mtu nairobi... but poa tupo msibani