mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,084
- 647
Naomba kuuliza wana jukwaa hilli.
Je Bima ya Afya ina cover ukihitaji kubadili meno na kuweka ya bandia?
Ama ni hospitali zipi na kwa gharama zipi naweza pata huduma hii kwa Dar es salaam?
Je Bima ya Afya ina cover ukihitaji kubadili meno na kuweka ya bandia?
Ama ni hospitali zipi na kwa gharama zipi naweza pata huduma hii kwa Dar es salaam?