Gharama za msingi nyumba ya kuanzia

Gharama za msingi nyumba ya kuanzia

Kadwanguruzi

Member
Joined
Oct 9, 2024
Posts
70
Reaction score
90
Natanguliza shukran wakuu, bila shaka wazima wa afya, straight to the point, ni mgen kwa maswala ya ujenzi ndo maana nataka nikijenge hiki kwa phases kinipe experience kabla sjajipanga kwa ajili ya main house.

Nataka nianze na msingi kwanza, so naomba mnipe estimation ya gharama kulingana na raman hii..
Sebule 10*10ft, bedroom 8*8ft, kijiko simple sana 5*3ft, Toilet (public) 5*3ft. Kiwanja nshanunua, eneo ni Bukoba mjini mkoa Kagera. Ndo ivo tu yan. Bado ni bachelor sina mtoto wala mama yake.

Ikiwezekana naomba
mwenye uzoefu anipe mwanga msingi uta cost shingapi, au hadi hatua ya paa na kuezeka kabisa. Au hadi nahamia kabisa. Lkn msingi kwanza. I'll appreciate ur contributions.🙏
 
Hapo utaingia hasara tu kwa saizi ya vyumba hivyo. Fanya hivi:
Sebure: 12ft*12ft
Chumba:12ft:11ft
Toilet: 4ft*6.5ft au 7ft kama ni self container.
Jiko: 5ft*8ft

Kuhusu gharama itategemea na material utakayotumia. Mawe au tofali za simenti.
 
Hapo utaingia hasara tu kwa saizi ya vyumba hivyo. Fanya hivi:
Sebure: 12ft*12ft
Chumba:12ft:11ft
Toilet: 4ft*6.5ft au 7ft kama ni self container.
Jiko: 5ft*8ft

Kuhusu gharama itategemea na material utakayotumia. Mawe au tofali za simenti.
Nathamin sana mchango wako huu mkuu, shukran, lkn sasa mbna naona km sebule itakuwa kubwa mno, hata toilet 4*7ft mbna naikuta km ni kubwa sana mkuu, big for nothing, hii temporary house ambayo in future inaweza iwe boys quota. Naona km itakuw kubwa mno, au niaje mkuu, msingi utantumia mawe, then tofali za kuta zitakuw za kuchoma
 
Nathamin sana mchango wako huu mkuu, shukran, lkn sasa mbna naona km sebule itakuwa kubwa mno, hata toilet 4*7ft mbna naikuta km ni kubwa sana mkuu, big for nothing, hii temporary house ambayo in future inaweza iwe boys quota. Naona km itakuw kubwa mno, au niaje mkuu, msingi utantumia mawe, then tofali za kuta zitakuw za kuchoma
Kwa vipimo ulivyotumia ni vidogo sana pia kiasi kwamba utajikuta unatumia bati za futi 8 kwa kuunganisha kitu ambacho kinaleta gharama sawa na pale sebure yako ikiwa 12ft*12ft au 11ft*11ft na chumba kuwa na saiz ya 12ft*12ft ili sehem yake ichukuliwe na choo. Pia nimeshaur choo kiwe 4ft*7ft ili kuruhusu kitanda cha 5ft*6ft au 6ft*6ft kufiti pemben mwa marefu ya hicho choo kwenye self yako.
 
Kwa vipimo ulivyotumia ni vidogo sana pia kiasi kwamba utajikuta unatumia bati za futi 8 kwa kuunganisha kitu ambacho kinaleta gharama sawa na pale sebure yako ikiwa 12ft*12ft au 11ft*11ft na chumba kuwa na saiz ya 12ft*12ft ili sehem yake ichukuliwe na choo. Pia nimeshaur choo kiwe 4ft*7ft ili kuruhusu kitanda cha 5ft*6ft au 6ft*6ft kufiti pemben mwa marefu ya hicho choo kwenye self yako.
Shukrani sana mkuu, nmepata wazo kutoka kwa rafiki kwamba ni bora nijenge 2bedrooms kwamba tofauti ya gharama za single bedroom kwa double rooms ni ndogo. Hivyo itanibid nichkue raman nyingne mpya. Nashkuru kwa ushauri wa vipimo.. ngoja ni revise raman nione inakuwaje
 
Back
Top Bottom