Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Mzee mbona tunatishana?
Nataka nijenge airport yangu spesho ili nisisumbuliwe na sirikali
Kwanza ukiwa na ndege lazima uwe na gari sio unashuka uanjani unapanda boda boda! Vipuri ni vya kununua genuine sio vya kuokoteza.,Uwe na Rubani, vibali vya kupaki ndege airport, vibali vya kuruka duuhMzee mbona tunatishana?
Nataka nijenge airport yangu spesho ili nisisumbuliwe na sirikali
Nini wewee myebusi tuko kwenye msiba mnashadidia midege. Unajua gharama zake wewe hizo kwenye picha? Siyo chini ya dollar million 60. Hizi thread za kufarihia anasa wakati wa maombolezo haileti picha nzuri.Kwani unateseka mkuu?
Nini wewee myebusi tuko kwenye msiba mnashadidia midege. Unajua gharama zake wewe hizo kwenye picha? Siyo chini ya dollar million 60. Hizi thread za kufarihia anasa wakati wa maombolezo haileti picha nzuri.
Ingia Google huko mtuache tuomboleze
Hata sijui ila ukipata bei ni tag na mm nitanunua toleo jipyaPigia mstari mzee baba
Pambaneni mumtoe nduli kagame mpate uhuru kuliko kubaki kulialiaJF sio ya watanzania tu mzee, punguza mihemko. na sisi wa Ruhengeli-Rwanda tufanyeje?
Mtuache tuomboleze kifo cha mzee wetu Mengi hii midege ni vitu vya anasa na vya kupita. Tuna msiba wa taifa nyinyi mnaleta thread za anasa. Kuweni na staha
wewe nae acha mawazo ya kimaskin ambayo hata huyo marehemu alikua akiyapinga, ni njaa zako tuu, kwaio kisa msibaa mambo yote yasimame? NJia bora ya kuomboleza ni kumuombea marehem apumzike/apumzishe pema peponi, hayo maombolezo yako ya kwenye mitandao au kwenda kushinda msibani hayana tija, BTW am sure mtoa mada alitaka tu kujua ila wewe na mahasira yako eti anasa? KHaaaNini wewee myebusi tuko kwenye msiba mnashadidia midege. Unajua gharama zake wewe hizo kwenye picha? Siyo chini ya dollar million 60. Hizi thread za kufarihia anasa wakati wa maombolezo haileti picha nzuri.
Ingia Google huko mtuache tuomboleze
Tulia wewee mgerasi mtuache tuombolezewewe nae acha mawazo ya kimaskin ambayo hata huyo marehemu alikua akiyapinga, ni njaa zako tuu, kwaio kisa msibaa mambo yote yasimame? NJia bora ya kuomboleza ni kumuombea marehem apumzike/apumzishe pema peponi, hayo maombolezo yako ya kwenye mitandao au kwenda kushinda msibani hayana tija, BTW am sure mtoa mada alitaka tu kujua ila wewe na mahasira yako eti anasa? KHaaa
unaomboleza mitandaoni? HAkuna ambaye hajaguswa na msiba wa MENGI ila njia yako ya uombolezaji ni ya kipekee,mtu kuulizia bei ya kitu ni anasa? Je alieandika "Mke wangu ananinyima mtandao pendwa" kule MMU? UNaacha ku attack ma filauni kama hawa unakuja ku mu atak mtu anayeuliza swali la kawaida tu, just tukienda kiungwana mambo hayaend hvyo mzeeTulia wewee mgerasi mtuache tuomboleze
Dogo jikite kwenye mada acha porojo jamviniunaomboleza mitandaoni? HAkuna ambaye hajaguswa na msiba wa MENGI ila njia yako ya uombolezaji ni ya kipekee,mtu kuulizia bei ya kitu ni anasa? Je alieandika "Mke wangu ananinyima mtandao pendwa" kule MMU? UNaacha ku attack ma filauni kama hawa unakuja ku mu atak mtu anayeuliza swali la kawaida tu, just tukienda kiungwana mambo hayaend hvyo mzee