Unalisha watu matango pori siyo! Maneno kama haya zungumzia huko huko kwenye vilabu vya mataputapu na siyo hapa!
Unalisha watu matango pori siyo! Maneno kama haya zungumzia huko huko kwenye vilabu vya mataputapu na siyo hapa!
Ungo labda,Hv hatuwezi ku copy na ku pest tukaunda zetu.....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwanza ukiwa na ndege lazima uwe na gari sio unashuka uanjani unapanda boda boda! Vipuri ni vya kununua genuine sio vya kuokoteza.,Uwe na Rubani, vibali vya kupaki ndege airport, vibali vya kuruka duuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hivi unaijua Airbus A380? Hii ndege ni The World's largest passenger plane! Price Tag ni Half billion in term of $ ( $ USD 445.6 Million's in 2018) kwa pesa za madafu ni kama trillion moja na ushee....Fly emirates ndo wanazitumia sana hizi ndege na wanazo zaidi ya 100!Itategemea na aina na specification za ndege. Ila bei yake ni kubwa sana kama Bil 3Na kuendelea izo za jet ila za mapanga itakua cheap.
Mfano Airbus A380 superjumbo Ndio cheapest jet bei $1.96 Million kama Bil 4 na kidogo.
Mbali na bei ya kununulia kutakua na ushuru wa aina mbalimbali.
Sasa tatizo linakuja kwenye running cost hapo ndio utasanda mzee. Ata Mabilionea hawanunui wanaishia kukodi tu maana kulitunza ilo ndude ni shida.
Kumbuka hulilazi parking kwako unalilaza Airpot so kila siku unalipia hela ya kulaza. So ni hatari sana saaaana.
[emoji1][emoji1]mkuu mi mwenyewe nmesoma ile comment nkaanza kucheka tu, Billion mbili lbd anunue zile Cessna Used kweli kweli[emoji23]A380 sio inakimbilia trilioni 1 kwa Tsh.
Mkuu ingia www.jamesedition.com hapo utapata kujua mengi hata ukitaka Private Yatch utapata pia!
[emoji3][emoji3] kuna wakati ilibaki kidogo ninunue used cessna kwa $30000[emoji1][emoji1]mkuu mi mwenyewe nmesoma ile comment nkaanza kucheka tu, Billion mbili lbd anunue zile Cessna Used kweli kweli[emoji23]
nunua mkuu[emoji3][emoji3],,,umpe lift Zero IQ kwenye ziara yake ya kutafuna papuchi[emoji3][emoji3] kuna wakati ilibaki kidogo ninunue used cessna kwa $30000
[emoji23][emoji23]nunua mkuu[emoji3][emoji3],,,umpe lift Zero IQ kwenye ziara yake ya kutafuna papuchi
Maswali ya maskini jeuri utayajua tu
Una hela wewe?unataka kununua bombadia sio ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hyo ukishuka kwenye ndege huruhusiwi kupanda bodaboda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah hapo umeua. Labda uwe na eneo la wazi kubwa sana. Dar pamejaa labda uende Tukuyu