Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Mie nataka mtoto wakinyamwezi bwana nimshenyete vilivyo na kibamia changu
Aahahahahaa ujue wee mzab umeshindikana eehehehehee loooh!!!! 🤣🤣🤣🤣🤣.
Ukitaka wanyamwezi uwezane na mambo kuhimili matokeo ya asali mbichi....😅😅😅
Ni zaidi ya uzito wa kichwa cha SGR aka mzigo mzito...😜.
Wacha nikutafutie Nyanzobe au Misoji ndo watawezana na wewe, hao wote binamu zangu😊.