Gharama za uchimbaji wa kisima cha maji - Dodoma

chutex

Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
54
Reaction score
11
Wakuu naombeni msaada wenu kwa yeyote anayejua gharama halisi za uchimbaji wa kisima(kirefu) cha maji
 
Wakuu naombeni msaada wenu kwa yeyote anayejua gharama halisi za uchimbaji wa kisima(kirefu) cha maji

survey fees 250,000;kuchimba tshs 80,000/meter. ongeza gharama za mchanga,mabomba na pump. jitahidi uwe na 10,000,000 /=
 
survey fees 250,000;kuchimba tshs 80,000/meter. ongeza gharama za mchanga,mabomba na pump. jitahidi uwe na 10,000,000 /=

Asante sana mkuu, kwa hiyo gharama inaweza kufaa zaidi maeneo gani? kwa mfano mimi nataka kuchimba kisima dodoma - interior kidogo kutoka dodoma mjini. Vipi inawezekana?
 
Asante sana mkuu, kwa hiyo gharama inaweza kufaa zaidi maeneo gani? kwa mfano mimi nataka kuchimba kisima dodoma - interior kidogo kutoka dodoma mjini. Vipi inawezekana?

Kwa uhakikia zaidi mpigie huyu: 0754608955 au huyu :0719565437- Utapata taarifa zote muhimu kwa jinsi unavyotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…