Wakuu habari,
Muda siomrefu natarajia kuanza ujenzi maeneo ya kigamboni. Ramani nilishapata hadi kibali sasa imebaki mimi tuu kuanza. Kuna fundi mmoja nilimtafuta anikadirie gharama na gharama za material tulizo kadiria kuanzia msingi hadi lenter zilikuja TZS 9.6M na yeye akasema ya ufundi itakuwa 2.5M hadi hapo kwenye lenter.
Sasa waungwana naombeni ushauri wenu kama gharama ni reasonable. Nyumba ni vyumba3 ukubwa wa sqm 150 hv. Fundi ni mzoefu.
Nawasilisha.
Muda siomrefu natarajia kuanza ujenzi maeneo ya kigamboni. Ramani nilishapata hadi kibali sasa imebaki mimi tuu kuanza. Kuna fundi mmoja nilimtafuta anikadirie gharama na gharama za material tulizo kadiria kuanzia msingi hadi lenter zilikuja TZS 9.6M na yeye akasema ya ufundi itakuwa 2.5M hadi hapo kwenye lenter.
Sasa waungwana naombeni ushauri wenu kama gharama ni reasonable. Nyumba ni vyumba3 ukubwa wa sqm 150 hv. Fundi ni mzoefu.
Nawasilisha.