Gharama za ujenzi TZS 13M

Gharama za ujenzi TZS 13M

Hivi ukimaliza kuweka Gyspum, nini kinafuata tiles? au skimming? naomba ushauri kwa wazoefu...
Skimming.....nitafute chap

Mtaalamu Wa Finishing kali zenye viwango vya juu vya ubora ....nipo DSM na mikoani nafika

Tunashughulika na Yafuatayo

[emoji3502] UREMBO WA KISASA

[emoji3502]PLASTA ZA KISASA

[emoji3502]SKIMING NA RANGI

[emoji3502]TILES

[emoji828]Urembo Wa Magogo ( ukuta Wa garden)

[emoji3502]USIMAMIZI WA KAZI

[emoji3502]TUPO TEMEKE

[emoji830]CONT. [emoji336]0789005562

Kwa bei ya kizalendo nitafanya nyumba yako ' na ivutie kwa kazi Nzuri
IMG_20211014_150258_3.jpg
IMG_20211014_151400_9.jpg
 
SHapa ndipo ninaposema thamani za nyumba kwetu zinakuzwa kuliko uhalisi, na inawezekana kwa vile tunachukulia nyumba kuwa sehemu ya utajiri wakati nyumba ni hitaji la kawaida la kila binadamu. Ingawa sina namba kamili ya pesa nilizotumia kwenye ujenzi huo, ila ulikuwa ni kidogo sana. Ninakumbukua tunilitumia matofari ya kuchoma sikumbuki kiasi gani, sementi pia sikumbuki mifuko mingapi na bei ya wakati huo; ni kipindi kifupi sana kabla bei ya haijapanda jambo lililofanya waziri mkuu aingile kati na mafundi waliniambia nilipata bahati sana ya kununua mifuko mingi mapema. Mabati mekundu ya aluminium wao wakiyaita ya South ambayo pia sikumbuki idadi yake sasa, na vioo tinted ambayo sikumbuki ni mapande mangapi. Tulitumia rangi za aina nne tu kwa nyumba yote, ila idadi yote ya ndoo zote pia siikumbuki tena; hatujakamilisha uwekaji wa vigae kwenye floor kwani sikupenda vigae vilivyokuwapo madukani wakati huo, na sasa hivi kila ninaporudi nyumbani hukuta kuna watu wanaishi ndani ya nyumba hiyo. In general gharama ilikuwa ni ndogo sana kuliko makadirio yaliyotolewa na wataalamu baada ya nyumba kuisha. Ukitaka kufuatilia endelea kunitag katika topic hii nitaweza kufumua financial record zangu kukupa namba kamili za ujenzi huo.
Kama kila kitu hukumbuki ina maana hukuweka records zako kiusahihi. Kwa hivyo hiyo bei uliyotaja siyo ya uhalisia kabisa.
 
Kama kila kitu hukumbuki ina maana hukuweka records zako kiusahihi. Kwa hivyo hiyo bei uliyotaja siyo ya uhalisia kabisa.
Sikumbuki kutoka kichwani mpaka nikasome, siyo kwamba sina rekodi. Huwa ninafanya shughuli nyingi kiasi kuwa ni vigumu kuwa na mahesabu sahihi ya kila kitu kichwano bila kusoma vitabu vya kumbukumbu. Ila ukitafuta humu kwenye jukwaa la Ujenzi hutakosa post niliyowahi kuweka records hizo, kwani siyo mara yangu ya kwanza kulizungumzia jambo hili.
 
Sikumbuki kutoka kichwani mpaka nikasome, siyo kwamba sina rekodi. Huwa ninafanya shughuli nyingi kiasi kuwa ni vigumu kuwa na mahesabu sahihi ya kila kitu kichwano bila kusoma vitabu vya kumbukumbu. Ila ukitafuta humu kwenye jukwaa la Ujenzi hutakosa post niliyowahi kuweka records hizo, kwani siyo mara yangu ya kwanza kulizungumzia jambo hili.
Hehe ....
 
Wakuu habari,

Muda siomrefu natarajia kuanza ujenzi maeneo ya kigamboni. Ramani nilishapata hadi kibali sasa imebaki mimi tuu kuanza. Kuna fundi mmoja nilimtafuta anikadirie gharama na gharama za material tulizo kadiria kuanzia msingi hadi lenter zilikuja TZS 9.6M na yeye akasema ya ufundi itakuwa 2.5M hadi hapo kwenye lenter.

Sasa waungwana naombeni ushauri wenu kama gharama ni reasonable. Nyumba ni vyumba3 ukubwa wa sqm 150 hv. Fundi ni mzoefu.

Nawasilisha.
Smart ujenzi
Tuwasiliane
Simu na Whatsapp:
0762-704-031.
0654-704-031.

1:Tutakuandalia tathmini ya ujenzi wako.
2:Tutakujengea.
 
Wakuu habari,

Muda siomrefu natarajia kuanza ujenzi maeneo ya kigamboni. Ramani nilishapata hadi kibali sasa imebaki mimi tuu kuanza. Kuna fundi mmoja nilimtafuta anikadirie gharama na gharama za material tulizo kadiria kuanzia msingi hadi lenter zilikuja TZS 9.6M na yeye akasema ya ufundi itakuwa 2.5M hadi hapo kwenye lenter.

Sasa waungwana naombeni ushauri wenu kama gharama ni reasonable. Nyumba ni vyumba3 ukubwa wa sqm 150 hv. Fundi ni mzoefu.

Nawasilisha.
ni reasonable
 
SHapa ndipo ninaposema thamani za nyumba kwetu zinakuzwa kuliko uhalisi, na inawezekana kwa vile tunachukulia nyumba kuwa sehemu ya utajiri wakati nyumba ni hitaji la kawaida la kila binadamu. Ingawa sina namba kamili ya pesa nilizotumia kwenye ujenzi huo, ila ulikuwa ni kidogo sana. Ninakumbukua tunilitumia matofari ya kuchoma sikumbuki kiasi gani, sementi pia sikumbuki mifuko mingapi na bei ya wakati huo; ni kipindi kifupi sana kabla bei ya haijapanda jambo lililofanya waziri mkuu aingile kati na mafundi waliniambia nilipata bahati sana ya kununua mifuko mingi mapema. Mabati mekundu ya aluminium wao wakiyaita ya South ambayo pia sikumbuki idadi yake sasa, na vioo tinted ambayo sikumbuki ni mapande mangapi. Tulitumia rangi za aina nne tu kwa nyumba yote, ila idadi yote ya ndoo zote pia siikumbuki tena; hatujakamilisha uwekaji wa vigae kwenye floor kwani sikupenda vigae vilivyokuwapo madukani wakati huo, na sasa hivi kila ninaporudi nyumbani hukuta kuna watu wanaishi ndani ya nyumba hiyo. In general gharama ilikuwa ni ndogo sana kuliko makadirio yaliyotolewa na wataalamu baada ya nyumba kuisha. Ukitaka kufuatilia endelea kunitag katika topic hii nitaweza kufumua financial record zangu kukupa namba kamili za ujenzi huo.
We kila kitu hukumbuki...poor you
 
We kila kitu hukumbuki...poor you
Kuna post hapa niliyoweka mahesabu yote, itafute. Siyo kuwa ninakuwa nakariri kila mahesabu. Ninapopeleka hela za ujenzi pia huwa kuna allowance wa wazazi wangu, na hela za msaada wa kusomesha watoto wa ndugu wasiojiweza. Kwa hiyo siwezi kukumbuka mahesabu yote hayo, ila niliwahi kuyaweka hapa, ukiwa serious yatafute kwenye jukwaa hili la ujenzi.
 
Wakuu habari,

Muda siomrefu natarajia kuanza ujenzi maeneo ya kigamboni. Ramani nilishapata hadi kibali sasa imebaki mimi tuu kuanza. Kuna fundi mmoja nilimtafuta anikadirie gharama na gharama za material tulizo kadiria kuanzia msingi hadi lenter zilikuja TZS 9.6M na yeye akasema ya ufundi itakuwa 2.5M hadi hapo kwenye lenter.

Sasa waungwana naombeni ushauri wenu kama gharama ni reasonable. Nyumba ni vyumba3 ukubwa wa sqm 150 hv. Fundi ni mzoefu.

Nawasilisha.
Umefika wapi mkuu
 
Miaka ya nyuma kidogo nilikuwa natafuta nyumba ya kununua. Bei nilizokuwa nakutana nazo zikawa hatoi maana yoyote kwangu, hivyo nikaamua kujenga mwenyewe kwa usimamizi wangu binafsi. Katika hiyo process nikagundua kuwa gharama za ujenzi siyo kubwa za kutisha ila kuna upigaji mwingi sana usipokuwa na usimamizi mzuri. Niliwahi kuleta hapa mchanganuo wa project yangu moja ya vyumba sita ambayo mthamini anaweza kukuambia milioni 100 hadi 150, lakini gharama zangu hazikufika zaidi ya milioni 15 ujenzi wote pamoja na finishing na upakaji rangi. Nilitumia mabati mekundu ya aluminium siyo vigae.

Kwa hiyo kwenye ujenzi, inabidi ukae beneti na fundi hasa upande wa materials. Inaonekana kama vile fundi wako kawa mwungwana kwako kuhusu materials lakini vile vile inategemea na ukubwa wa nyumba yenyewe.
Picha?
 
Umefika wapi mkuu
Nitakuja kuleta mrejesho mkuu. ila so far nimeshapaua, plaster, rough floor, umeme ushawaka, gypsum na kuiskim, septic tank zote taari, gril za madirisha na milango ya mbele na nyuma taari. hadi hapo imenicosts almost 46M. sehemu iliokula hela ambayo haikuwa kwa bajeti ni mchanga coz sikutumia kifusi cha udongo
 
Nitakuja kuleta mrejesho mkuu. ila so far nimeshapaua, plaster, rough floor, umeme ushawaka, gypsum na kuiskim, septic tank zote taari, gril za madirisha na milango ya mbele na nyuma taari. hadi hapo imenicosts almost 46M. sehemu iliokula hela ambayo haikuwa kwa bajeti ni mchanga coz sikutumia kifusi cha udongo
46M kumbe ulikuwa unatuchora na 13M zako
 
Nitakuja kuleta mrejesho mkuu. ila so far nimeshapaua, plaster, rough floor, umeme ushawaka, gypsum na kuiskim, septic tank zote taari, gril za madirisha na milango ya mbele na nyuma taari. hadi hapo imenicosts almost 46M. sehemu iliokula hela ambayo haikuwa kwa bajeti ni mchanga coz sikutumia kifusi cha udongo
Hongera sana hiyo cost ni reasonable kabisa kwa levele uliyofikia
 
Back
Top Bottom