Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Vilishauzwa chini ya bei hizo still leo tuna wazee bado ni wapangajiIngelikuwaga
Cement 5000
Bati 7500
Mbao 5000
Aisee tungejenga wengi sana
2007 cement ilikua 10,000Vilishuzwa chini ya bei hizo still leo tuna wazee bado ni wapangaji
bongo labda uwe na kampuni biashara hamna kitu fanya research wenye madeni wengi ni wafanya biasharaMaisha ya kupanga na kujenga ni bora ya kupanga mzee!!!
Yaani mie nichukue hela yangu nikanunue michanga badala ya kuiwekeza kwenye biashara? Never
Mkapa anaachia nchi 2005 aliicha ikiwa Tsh 3,500/4,000/= bati jeupe gauge 30 Tsh 3,500/=.2007 cement ilikua 10,000
bongo labda uwe na kampuni biashara hamna kitu fanya research wenye madeni wengi ni wafanya biashara
Na watu hawakujenga hahahahaha,Mkapa anaachia nchi 2005 aliicha ikiwa Tsh 3,500/4,000/= bati jeupe gauge 30 3,500/=
Jenga saizi yako .. sawa na kipato chako.Ingelikuwaga
Cement 5000
Bati 7500
Mbao 5000
Aisee tungejenga wengi sana
Gharama za ujenzi ni juu kwasababu tu tunakosa viongozi wenye akili wala hakuna lingineKwa pato la mtanzania kuishi nyumba za kupanga ni kujitengenezea msingi mzuri wa umaskini.
Gharama za vifaa vya ujenzi zipo juu ukilinganisha na uhalisia.
Tunahitaji viongozi ambao wanaweza kutetea wananchi sio kusifia tu
Sema wewe ndio una maisha magumu au uchumi unakusumbua kuna watu wanaendelea kushusha mijengo kwa uchumi huu tulionao ujenzi ni akili yako,kujibana na kuamua kila kitu tutalaumu tu Kizimkazi kizimkazi amka pambana maisha yenyewe mafupiTatizo kizimkazi anachojua ni kurembua macho tu.mambo ya uchumi hayamuhusu kabisa.
UnSema wewe ndio una maisha magumu au uchumi unakusumbua kuna watu wanaendelea kushusha mijengo kwa uchumi huu tulionao ujenzi ni akili yako,kujibana na kuamua kila kitu tutalaumu tu Kizimkazi kizimkazi amka pambana maisha yenyewe mafupi
Nitajenga siku kizimkazi ametoka madarakaniSema wewe ndio una maisha magumu au uchumi unakusumbua kuna watu wanaendelea kushusha mijengo kwa uchumi huu tulionao ujenzi ni akili yako,kujibana na kuamua kila kitu tutalaumu tu Kizimkazi kizimkazi amka pambana maisha yenyewe mafupi
Gharama za steel duniani kote zinapanda, usitegemee Nondo na bati kushuka,Un
Nitajenga siku kizimkazi ametoka madarakani
Maisha ya kupanga na kujenga ni bora ya kupanga mzee!!!
Yaani mie nichukue hela yangu nikanunue michanga badala ya kuiwekeza kwenye biashara? Never