Gharama za ujenzi zipo juu sana

Gharama za ujenzi zipo juu sana

Rudi na haya mawazo ukiwa na miaka 45
Nitakua millionaire(utake, usitake) hivyo nitakua nahama kutoka full furnished apartment moja kwenda nyingine. (Wakati huo wewe uko kwenye nyumba yako uliyojenga huwezi hata kuhama sababu unaimiliki, imagine maisha yako yoote uishi kwenye nyumba moja , mpaka fasheni inapita wewe umo tu)

Wakati wewe unatoa milion tatu kwenda kununua kiwanja chako mabwepande ndani ndani, mimi nitaichukua hiyo million tatu nikaongeze mtaji katika biashara yangu.

Wakati wewe unawalipa mafundi na kuleta trip za mchanga(let say utatumia mil 2)

Mimi hiyo m2 nitaongeza mtaji kwenye biashara yangu, wakati huo biashara itakua na mtaji wa M5 za ziada ila wewe kwako umejaza vifusi na michanga kwenye eneo la wazi probably ukijinyima kula ili ujibane upate hela uanze ujenzi mimi nikitaka kwenda samaki samaki naenda, nainjoi mpaka asubuhi.

Broo ni mengi sana aseeee!!!

Najua utasema kwenye biashara kuna hasara lakini hata kwenye ujenzi kuna hasara vile vile, unaeza kuuziwa kiwanja chenye mgogoro

Mpaka wewe unamaliza nyumba na mie business itakua imeshamiri, hata ikitokea niamue kubadili mawazo na kujenga, nitakua na uwezo wa kununua kiwanja hata mbweni na nikajenga nyumba standard kwa sababu nina backup ya strong business
 
Nitakua millionaire(utake, usitake) hivyo nitakua nahama kutoka full furnished apartment moja kwenda nyingine. (Wakati huo wewe uko kwenye nyumba yako uliyojenga huwezi hata kuhama sababu unaimiliki, imagine maisha yako yoote uishi kwenye nyumba moja , mpaka fasheni inapita wewe umo tu)

Wakati wewe unatoa milion tatu kwenda kununua kiwanja chako mabwepande ndani ndani, mimi nitaichukua hiyo million tatu nikaongeze mtaji katika biashara yangu.

Wakati wewe unawalipa mafundi na kuleta trip za mchanga(let say utatumia mil 2)

Mimi hiyo m2 nitaongeza mtaji kwenye biashara yangu, wakati huo biashara itakua na mtaji wa M5 za ziada ila wewe kwako umejaza vifusi na michanga kwenye eneo la wazi probably ukijinyima kula ili ujibane upate hela uanze ujenzi mimi nikitaka kwenda samaki samaki naenda, nainjoi mpaka asubuhi.

Broo ni mengi sana aseeee!!!

Najua utasema kwenye biashara kuna hasara lakini hata kwenye ujenzi kuna hasara vile vile, unaeza kuuziwa kiwanja chenye mgogoro

Mpaka wewe unamaliza nyumba na mie business itakua imeshamiri, hata ikitokea niamue kubadili mawazo na kujenga, nitakua na uwezo wa kununua kiwanja hata mbweni na nikajenga nyumba standard kwa sababu nina backup ya strong business
Haya maneno huwa unaweza kutype tu nyuma ya keybord wala haina shida njoo kwenye uhalisia ss 😆😆😆😆
 
Nitakua millionaire(utake, usitake) hivyo nitakua nahama kutoka full furnished apartment moja kwenda nyingine. (Wakati huo wewe uko kwenye nyumba yako uliyojenga huwezi hata kuhama sababu unaimiliki, imagine maisha yako yoote uishi kwenye nyumba moja , mpaka fasheni inapita wewe umo tu)

Wakati wewe unatoa milion tatu kwenda kununua kiwanja chako mabwepande ndani ndani, mimi nitaichukua hiyo million tatu nikaongeze mtaji katika biashara yangu.

Wakati wewe unawalipa mafundi na kuleta trip za mchanga(let say utatumia mil 2)

Mimi hiyo m2 nitaongeza mtaji kwenye biashara yangu, wakati huo biashara itakua na mtaji wa M5 za ziada ila wewe kwako umejaza vifusi na michanga kwenye eneo la wazi probably ukijinyima kula ili ujibane upate hela uanze ujenzi mimi nikitaka kwenda samaki samaki naenda, nainjoi mpaka asubuhi.

Broo ni mengi sana aseeee!!!

Najua utasema kwenye biashara kuna hasara lakini hata kwenye ujenzi kuna hasara vile vile, unaeza kuuziwa kiwanja chenye mgogoro

Mpaka wewe unamaliza nyumba na mie business itakua imeshamiri, hata ikitokea niamue kubadili mawazo na kujenga, nitakua na uwezo wa kununua kiwanja hata mbweni na nikajenga nyumba standard kwa sababu nina backup ya strong business
Toka kwenye upangaji mzee usijifariji najua huo ni umasikini tu
 
Toka kwenye upangaji mzee usijifariji najua huo ni umasikini tu
Huyo jamaa n maskin kweli eti anasema ukishajenga nyumba huwez hama nani sijui kamwambia ivo watu wangapi wamejenga nyumba na wanapangisha na wao wanapanga maeneo karibu na shughuli zao yaan ana mawazo ya kitoto sn ile kwamba nikikua ntajenga nyumba ntanunua gari ntafungua kampuni ntaoa kua sasa tuone
 
Back
Top Bottom