Gharama za umalaya...

Gharama za umalaya...

Kaka mimi nime plan, nikalime mihogo mkoa wa pwani, naomba ushahuri kwa hili, hasa kuhusu masoko etc...

Inaonekana wew una experience kwenye sector ya Kilimo.
Ushauri wangu mkuu..
1. Kusanya mtaji
2. Anzia sokoni

Usiingie shamba huku hujui utamuuzia nani au utauza kwa kusikia maneno ya watu shambani huko.
Mfate mteja chonga nae, then ndio UINGIE SHAMBA.
#ANZA_SOKONI.

#YNWA
 
Firstly nikupongeze na kukutia moyo brother. Pale wasomi mnapoamua kuacha office na kushika jembe huwa nafarijika sana. But kwa maelezo yako unaonekana umli umesogea kidogo si chini 28/30 is better ukaowa mkuu. Ni vizuri kuacha Ngono . Sema mwisho umenichanganya ulipoleta siasa
Kuoa ngoja nifike 40's.

Its never to late in life.

#YNWA
 
Back
Top Bottom