Usiingie shamba huku hujui utamuuzia nani au utauza kwa kusikia maneno ya watu shambani huko.
Mfate mteja chonga nae, then ndio UINGIE SHAMBA.
#ANZA_SOKONI.
Firstly nikupongeze na kukutia moyo brother. Pale wasomi mnapoamua kuacha office na kushika jembe huwa nafarijika sana. But kwa maelezo yako unaonekana umli umesogea kidogo si chini 28/30 is better ukaowa mkuu. Ni vizuri kuacha Ngono . Sema mwisho umenichanganya ulipoleta siasa