Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Yesuuuu na Mariaaa 🤣🤣Unatakiwa ukutane na mother house mchaga ilimuongee kichaga vizuri na utatoa tu😀😀😀
Faza house ni mchaga yule ambae mpk sura imekaa kichaga. Ila hizo hela namlipisha na anazitoa 😂😂
Yan namleta kwenye uchumi na ubahili na maelekezo mpk atalegea