dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 769
- 1,069
Habarini za majukumu ndugu zangu wa Jf.
Bila kupoteza muda twende kwenye maada moja kwa moja.. Nina mpango wa kuagiza gari aina ya townace kwa ajili ya biashara nilikuwa naomba kujua kuhusu gharama za usajili ikifika hapa Tanzania mpaka iweze kuingia barabarani inaweza gharimu kiasi gani?
Lakini pia ningependa kujua kuhusu aina na ubora wa hizi gari pia kama kuna mtu ana experience ya biashara ya townace tafadhari karibu ku share idea na changamoto ya hii biashara.
Karibuni sana wadau🙏
Bila kupoteza muda twende kwenye maada moja kwa moja.. Nina mpango wa kuagiza gari aina ya townace kwa ajili ya biashara nilikuwa naomba kujua kuhusu gharama za usajili ikifika hapa Tanzania mpaka iweze kuingia barabarani inaweza gharimu kiasi gani?
Lakini pia ningependa kujua kuhusu aina na ubora wa hizi gari pia kama kuna mtu ana experience ya biashara ya townace tafadhari karibu ku share idea na changamoto ya hii biashara.
Karibuni sana wadau🙏