Mento wa Magogoni
Member
- Nov 13, 2011
- 36
- 10
Ndugu wanajamvi kwa wanaofahamu naomba wanijuze,
Ninafikiria kusafiri kwenda uchina kwa lengo la biashara ya nguo. Kabla ya kufanya hivyo ningependa niyajue mambo kadha wa kadha likiwemo hili la gharama za ushuru hapa kwetu TZ, nimepeleleza na kuambiwa ushuru unalipwa kutokana na cubic metre ya mzigo wako, kwa anefahamu tafadhali anifahamishe zaidi.
Pia ningependa kufahamu ni agent gani mwenye gharama nafuu na reliable kwa kusafirisha mizigo kutoka China.
Naomba kuwasilisha mada.
Ninafikiria kusafiri kwenda uchina kwa lengo la biashara ya nguo. Kabla ya kufanya hivyo ningependa niyajue mambo kadha wa kadha likiwemo hili la gharama za ushuru hapa kwetu TZ, nimepeleleza na kuambiwa ushuru unalipwa kutokana na cubic metre ya mzigo wako, kwa anefahamu tafadhali anifahamishe zaidi.
Pia ningependa kufahamu ni agent gani mwenye gharama nafuu na reliable kwa kusafirisha mizigo kutoka China.
Naomba kuwasilisha mada.