Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Hasira hasaraNimevunja li line la zantel na kutupa huko... Yaani ninunue vocha kwa shida maana huku vijijini hakuna(nanunua kupitia tigopesa) alafu walivyo wajinga wanapandisha vifurushi kimya kimya)