Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Hasira hasaraNimevunja li line la zantel na kutupa huko... Yaani ninunue vocha kwa shida maana huku vijijini hakuna(nanunua kupitia tigopesa) alafu walivyo wajinga wanapandisha vifurushi kimya kimya)
Basi hawa jamaa ni qumer sana aisee 😳 😳 😳Ni maelekzo ya haohao TCRA
Jehanam huko😂Hata MI nimeshangaa sijui ni nchi ya wap hiyo
Nifundishe nami namna ya kupataWanaume, hatari wewe
View attachment 2087336
$ sio lazima iwe US$ mkuu.GB 50 USD 10,000/????? duh
Mapato ndio issue
Ni mwendo ule ule, umafia wa kimya kimya, kwa Voda na Tigo wameanza kutesti mitambo kwa kkupunguza GB za vifurushi vya mwezi.
Kuanzia sasa tutegemee lolote, hii ni trailer tu, bado muvi kamili ya machinjo yatayofanyika kimya kimya gizani usiku wa manane, nadhani tunaweza kuamka asubuhi mabadiliko kadha na kadha yakiwa yamefanyika kwenye vifurushi vingine.