Gharama za vifurushi vya intaneti zapandishwa tena kimya kimya. Je, ni censorship ya aina yake?

Dr Mwigulu anasemaje? Je, ongezeko linatokana na tozo?
 
Dah hicho kifurushi cha 50,000 kilikuwa kinauzwa 35,000 wamepandisha 15,000 ni nyingi hii itaumiza sana haswa kwa biashara za online

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Bando langu lilikata asubuhi, naangalia ofa yangu nakuta haipo tena...nahamia Burundi kama mwigulu alivyotaka.
 
TTCL hata gharama ya muda wa dakika wamepandisha bei sana.

Eti dakika 100 shilingi 4,000-5,000 ??’!!

Inasikitisha sana
 
Haya ndo mambo tunayotaka...

Kazi iendelee hutaki hamia Burundi.
 
Watanzania tunaonekana wa.se.nge sana...
 
Mie nafaidi tigo post pay 30Gb kwa 25K per month.
 
Mapato ndio issue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…