Gharama za vitu sasa ipo juu lakini Fundi ujenzi bei yake iko palepale

Gharama za vitu sasa ipo juu lakini Fundi ujenzi bei yake iko palepale

Mr kenice

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
4,260
Reaction score
7,033
Habarini waja JF,

Wote tunajua vitu ni bei juu kwa sasa, mfano, mchele, ngano, mafuta, petrol, sabuni, gharama za usafiri, vifaa vya ujenzi, nk

Lakini fundi bei yake palepale, tell me why.

Kwa namna niliyowaza bado sipati jibu, japokuwa na kipato chao hawa watu ila hawaishiwi vibweka na kuishi maisha ya juu.

Fundi kama fundi, huwa hana utaratibu wa kujibana kula, yaani anakula kupita uwezo, asubuhi chapati 4 supu ya buku, mchana wali maini na Pepsi mkubwa wao.

Na walivyo hawapendi kuonekana hawana hela wanapenda sketi sana, jioni lazima atoke na mhudumu mmoja wa chakula, na anavyopenda kuonekana ana hela day laki ni kubwa, just imagine huyu mtu anasevu shilingi ngapi per day.

Nliwahi kuwa saidia fundi, najua vingi, ila tueleze huko kwenye kupike kuhusu hawa ndugu zetu, na tuwasaidieje ili kpato chao kikue maana wanatujengea nyumba hodari lakini wao sasa duuuuh, si wote baadhi.

images (7).jpeg
 
Fundi ana percent kubwa sana ndo maana anakuekea bei ile ile ili uone hauumii, lakini atakavyokupiga kwenye material utajuta.
 
Mafundi kuchomeleaaa vyumaa vimepandaa bei lkn mtejaa akijaaa bei ya drisha alilotengenezaa 2019 anatakaa na leo2022 umtengenezee kwa bei hyo hyo ,jaman tuangalianeneeee matajiri
 
Mafundi kuchomeleaaa vyumaa vimepandaa bei lkn mtejaa akijaaa bei ya drisha alilotengenezaa 2019 anatakaa na leo2022 umtengenezee kwa bei hyo hyo ,jaman tuangalianeneeee matajiri
Nakubali , staili hii ya wateja ni vichwa ngum kuelewa
 
Nakubali , staili hii ya wateja ni vichwa ngum kuelewa
N tabu mkuuu ,wachachee sana wanaoelewaa na ndio na dilii nao wanao elewaa asiye elewaa naachana naye asijeee nipaa lawamaa baadaeee nakunianiribiaa offc kwakutangaza mm tapeli na muhunii,c unajua tenaa wabongoo .........
 
Habarini waja JF,

Wote tunajua vitu ni bei juu kwa sasa, mfano, mchele, ngano, mafuta, petrol, sabuni, gharama za usafiri, vifaa vya ujenzi, nk

Lakini fundi bei yake palepale, tell me why.

Kwa namna niliyowaza bado sipati jibu, japokuwa na kipato chao hawa watu ila hawaishiwi vibweka na kuishi maisha ya juu.

Fundi kama fundi, huwa hana utaratibu wa kujibana kula, yaani anakula kupita uwezo, asubuhi chapati 4 supu ya buku, mchana wali maini na Pepsi mkubwa wao.

Na walivyo hawapendi kuonekana hawana hela wanapenda sketi sana, jioni lazima atoke na mhudumu mmoja wa chakula, na anavyopenda kuonekana ana hela day laki ni kubwa, just imagine huyu mtu anasevu shilingi ngapi per day.

Nliwahi kuwa saidia fundi, najua vingi, ila tueleze huko kwenye kupike kuhusu hawa ndugu zetu, na tuwasaidieje ili kpato chao kikue maana wanatujengea nyumba hodari lakini wao sasa duuuuh, si wote baadhi.

View attachment 2180151
90% ya mafundi wana maisha duni pamoja na kuwa na utalaam na vipaji vikubwa.

Hapo kwenye chapati nne na pespsi mkubwa wao unamuonea tu. Kula ni starehe hasa baada ya kazi ngumu.

Kinachomaliza pesa zao hawa jamaa wala sio kula.
 
90% ya mafundi wana maisha duni pamoja na kuwa na utalaam na vipaji vikubwa.

Hapo kwenye chapati nne na pespsi mkubwa wao unamuonea tu. Kula ni starehe hasa baada ya kazi ngumu.

Kinachomaliza pesa zao hawa jamaa wala sio kula.
Ni vp Hawa Wenzetu wajikwamue, lengo kubadl mfomo mzma wa secta Yao
 
Back
Top Bottom