Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Wakati tupo busy na mijadala ya Muungano naona ni bora nikumbushe watu kuhusu Bili zitazokuja na uwepo wa serikali tatu ambazo kwa bahati mbaya mimi na wewe ..ndio na wewe (usishangae) itabidi tuchangae kupitia kodi zetu. Kwa akili yangu ya kawaida siamini Rais,Wabunge na watendaji wengine kwenye serikali ya Tanganyika hawatutanga sheria za kodi ambazo zitaniumiza mimi (mwananchi) iliwapate marupurupu yao. Ningependa kupata mawazo tofauti juu ya hili suala. Karibuni.