Gharama zinazoambatana na serikali tatu, mpo tayari kodi zipande?

Gharama zinazoambatana na serikali tatu, mpo tayari kodi zipande?

Walnut Creek

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2009
Posts
5,830
Reaction score
6,315
Wakati tupo busy na mijadala ya Muungano naona ni bora nikumbushe watu kuhusu Bili zitazokuja na uwepo wa serikali tatu ambazo kwa bahati mbaya mimi na wewe ..ndio na wewe (usishangae) itabidi tuchangae kupitia kodi zetu. Kwa akili yangu ya kawaida siamini Rais,Wabunge na watendaji wengine kwenye serikali ya Tanganyika hawatutanga sheria za kodi ambazo zitaniumiza mimi (mwananchi) iliwapate marupurupu yao. Ningependa kupata mawazo tofauti juu ya hili suala. Karibuni.
 
Wakati tupo busy na mijadala ya Muungano naona ni bora nikumbushe watu kuhusu Bili zitazokuja na uwepo wa serikali tatu ambazo kwa bahati mbaya mimi na wewe ..ndio na wewe (usishangae) itabidi tuchangae kupitia kodi zetu. Kwa akili yangu ya kawaida siamini Rais,Wabunge na watendaji wengine kwenye serikali ya Tanganyika hawatutanga sheria za kodi ambazo zitaniumiza mimi (mwananchi) iliwapate marupurupu yao. Ningependa kupata mawazo tofauti juu ya hili suala. Karibuni.

Warioba na tume yake haijazingatia hilo, wao wameengalia manufaa ki siasa tuu
 
Warioba na tume yake haijazingatia hilo, wao wameengalia manufaa ki siasa tuu

Muungano uwe wa serikali mbili au tatu.....for whose benefit? kwani kila nchi ikijienda kivyake na tukawa na mikataba ya mahusiano (bilateral agreements) kuna tatizo?
 
Wakati tupo busy na mijadala ya Muungano naona ni bora nikumbushe watu kuhusu Bili zitazokuja na uwepo wa serikali tatu ambazo kwa bahati mbaya mimi na wewe ..ndio na wewe (usishangae) itabidi tuchangae kupitia kodi zetu. Kwa akili yangu ya kawaida siamini Rais,Wabunge na watendaji wengine kwenye serikali ya Tanganyika hawatutanga sheria za kodi ambazo zitaniumiza mimi (mwananchi) iliwapate marupurupu yao. Ningependa kupata mawazo tofauti juu ya hili suala. Karibuni.
Gharama itapanda kwa nini? Kwenye maeneo gani? Kinachofanyika ni kutenganisha gharama na mapato ya muungano ili yawekwe tofauti na yale ya Tanganyika na Zanzibar.
 
Wakati tupo busy na mijadala ya Muungano naona ni bora nikumbushe watu kuhusu Bili zitazokuja na uwepo wa serikali tatu ambazo kwa bahati mbaya mimi na wewe ..ndio na wewe (usishangae) itabidi tuchangae kupitia kodi zetu. Kwa akili yangu ya kawaida siamini Rais,Wabunge na watendaji wengine kwenye serikali ya Tanganyika hawatutanga sheria za kodi ambazo zitaniumiza mimi (mwananchi) iliwapate marupurupu yao. Ningependa kupata mawazo tofauti juu ya hili suala. Karibuni.

Kwa nini mnashabikia serikali mbili eti hazina gharama hakuna mtu nathubutu kushabikia serikali moja . Wanasiasa wanafiki sana
Serikali moja hamtaki alafu mnasema mnaupenda muungano tuwaeleweje ?
 
Wakati tupo busy na mijadala ya Muungano naona ni bora nikumbushe watu kuhusu Bili zitazokuja na uwepo wa serikali tatu ambazo kwa bahati mbaya mimi na wewe ..ndio na wewe (usishangae) itabidi tuchangae kupitia kodi zetu. Kwa akili yangu ya kawaida siamini Rais,Wabunge na watendaji wengine kwenye serikali ya Tanganyika hawatutanga sheria za kodi ambazo zitaniumiza mimi (mwananchi) iliwapate marupurupu yao. Ningependa kupata mawazo tofauti juu ya hili suala. Karibuni.

Mbona mikoa na wilalaya zinavyoongezwa hamhoji kuwa gharama za uendeshaji zinaongezeka au kwa kuwa zinawafaidisha wanasiasa.

Hapa jibu ni serikalI tatu na uendeshaji tunachangia 50/50 na Zanzibar, hamna cha kusema inchi ndogo wala uchumi mdogo. kama ni gharama kwetu na Zanzibar pia ni gharama.

CCM acheni kuturubuni, hapa tulipo tu kodi zimejaa kila idara. na hazitusaidii chochote zaidi ya kuongeza deni la Taifa.

Kama haiwezekani serikali tatu moja ndio suluhisho.!
 
Muungano uwe wa serikali mbili au tatu.....for whose benefit? kwani kila nchi ikijienda kivyake na tukawa na mikataba ya mahusiano (bilateral agreements) kuna tatizo?
Mikataba ya mahusiano kwa faida ya nani?

Kwani kila upande ukiejiendea kivyake kuna tatizo gani?
 
Kwa nini mnashabikia serikali mbili eti hazina gharama hakuna mtu nathubutu kushabikia serikali moja . Wanasiasa wanafiki sana
Serikali moja hamtaki alafu mnasema mnaupenda muungano tuwaeleweje ?

Kama umesoma hapo juu mimi ningependa kodi zetu ziwe nafuu na njia pekee ni kuwa na serikali moja kama unavyosema ili tusijikute kama Kenya ambapo makusanyo makubwa ya kipato cha serikali yanaishia kwenye malipo ya wafanyakazi badala ya miradi ya maendeleo.
 
Gharama itapanda kwa nini? Kwenye maeneo gani? Kinachofanyika ni kutenganisha gharama na mapato ya muungano ili yawekwe tofauti na yale ya Tanganyika na Zanzibar.

SMU kinachofanyika ni zaidi ya kutofautisha gharama na mapato kati ya Tanganyika na Zanzibar, pia wanaongeza serikali mpya ya Tanganyika na hiyo ni gharama mpya.
 
Mbona mikoa na wilalaya zinavyoongezwa hamhoji kuwa gharama za uendeshaji zinaongezeka au kwa kuwa zinawafaidisha wanasiasa.

Hapa jibu ni serikalI tatu na uendeshaji tunachangia 50/50 na Zanzibar, hamna cha kusema inchi ndogo wala uchumi mdogo. kama ni gharama kwetu na Zanzibar pia ni gharama.

CCM acheni kuturubuni, hapa tulipo tu kodi zimejaa kila idara. na hazitusaidii chochote zaidi ya kuongeza deni la Taifa.

Kama haiwezekani serikali tatu moja ndio suluhisho.!

Mkubwa mimi sio CCM lakini serikali tatu siyo jawabu kwasababu itazidi kutoongezea gharama na bora umegusia serikali moja sielewi kwanini watu wanakwepa kuongelea serikali moja kwasababu pale serikali tatu zikianza kufanya kazi tutajikuta tunakodi zilizopitiliza na tutadai serikali moja au muungano uvunjuke, sasa kwanini tusifanye moja kati ya hayo sasa badala ya kupotezea muda na kuletea machungu mbeleni.
 
Mkubwa mimi sio CCM lakini serikali tatu siyo jawabu kwasababu itazidi kutoongezea gharama na bora umegusia serikali moja sielewi kwanini watu wanakwepa kuongelea serikali moja kwasababu pale serikali tatu zikianza kufanya kazi tutajikuta tunakodi zilizopitiliza na tutadai serikali moja au muungano uvunjuke, sasa kwanini tusifanye moja kati ya hayo sasa badala ya kupotezea muda na kuletea machungu mbeleni.
Moja HAIWEZEKANI, Mbili ZIMESHINDWA, tatu ni "gharama"!
..hapo ni mawili tu; aidha tatu au vunja jahazi.
 
Wakati mwingine ni bora kuingia gharama kuliko kuendelea kupigana na kumwagiana tindikali. Wao wanataka zanzibar yao iwe huru kwa nin tung'anie au mpaka tuanze kuchinjana kama wanavyofanya wenzetu ndio tuone kuwa tunaitaji suluhu! Mh j. Warioba kafafanua vizuri sana na kajitaidi kuonesha mzizi wa fitina uko wapi lakini naona baadhi ya wajumbe akili zetu tunasaidiwa kufikirishwa na watu wengine. Unaposema unataka serikali moja je uko tayari kumfunga kamba jirani yako na kuradhimisha ale asicho kitaka ! , aliposema wamependekeza serikali tatu wananchi waliona wazi kuwa kuna serikali mbili yaani ya muungano na zanzibar kwa maana ya wazi kabisa serikali ya muungano ndio inayo simamia mambo ya tanganyika kwa kuifata katiba ya hamuhuri ya muungano wa tanzania. Wakati unapo rudi kwa upande wa zanzibar wanakatiba yao! Sasa kwanini tundelee kupigishana kelele na kushikana mashati wakati kila kitu kiko wazi ila baadhi ya watu wajifanya hawaoni (kama ujamuelewa mh, j. Warioba kapitie katiba zote mbili ndio utamuelewa anasema nini )
 
SMU kinachofanyika ni zaidi ya kutofautisha gharama na mapato kati ya Tanganyika na Zanzibar, pia wanaongeza serikali mpya ya Tanganyika na hiyo ni gharama mpya.
Serikali ya Tanganyika practically ndio hiyo ya muungano. Kitakachofanyika ni kuondoa majukumu ya muungano kutoka "serikali ya Tanganyika" na kuipa serikali ya muungano. Swali langu ni majukumu gani yataongezeka? Kama ni ulinzi, kwa mfano, hata sasa gharama ipo na haiwezi kubadilika/kuongezeka kwa kulitoa jukumu hilo na kulipeleka kwa serikali ya muungano.
 
Wakati mwingine ni bora kuingia gharama kuliko kuendelea kupigana na kumwagiana tindikali. Wao wanataka zanzibar yao iwe huru kwa nin tung'anie au mpaka tuanze kuchinjana kama wanavyofanya wenzetu ndio tuone kuwa tunaitaji suluhu! Mh j. Warioba kafafanua vizuri sana na kajitaidi kuonesha mzizi wa fitina uko wapi lakini naona baadhi ya wajumbe akili zetu tunasaidiwa kufikirishwa na watu wengine. Unaposema unataka serikali moja je uko tayari kumfunga kamba jirani yako na kuradhimisha ale asicho kitaka ! , aliposema wamependekeza serikali tatu wananchi waliona wazi kuwa kuna serikali mbili yaani ya muungano na zanzibar kwa maana ya wazi kabisa serikali ya muungano ndio inayo simamia mambo ya tanganyika kwa kuifata katiba ya hamuhuri ya muungano wa tanzania. Wakati unapo rudi kwa upande wa zanzibar wanakatiba yao! Sasa kwanini tundelee kupigishana kelele na kushikana mashati wakati kila kitu kiko wazi ila baadhi ya watu wajifanya hawaoni (kama ujamuelewa mh, j. Warioba kapitie katiba zote mbili ndio utamuelewa anasema nini )

Kiukweli sijamkiliza Mh.Warioba alichosema bali nimesoma alichopendekeza "rasimu ya katiba" na ndipo nilipostuka jinsi serikali itakavyokuwa kubwa (Serikali ya Muungano,Tanganyika na Znz)hili suala ukiliangalia kisiasa utaona ni sawa lakini kiuchumi ni idea mbaya sana. Tanzania kiuchumi siyo nzuri kama mnavyodhani hatuna hayo mapato ya kuendesha hizo serikali, mnataka tuwe ombaomba hadi lini? Kwa kifupi naamini viongozi wanabidi wawe wazi kwa wananchi siyo kesho tuna serikali tatu halafu mafuta yakaaza kuuzwa 7,000 kwa litre kwasababu ya kodi, nategemea hautalalamika.
 
Mkubwa mimi sio CCM lakini serikali tatu siyo jawabu kwasababu itazidi kutoongezea gharama na bora umegusia serikali moja sielewi kwanini watu wanakwepa kuongelea serikali moja kwasababu pale serikali tatu zikianza kufanya kazi tutajikuta tunakodi zilizopitiliza na tutadai serikali moja au muungano uvunjuke, sasa kwanini tusifanye moja kati ya hayo sasa badala ya kupotezea muda na kuletea machungu mbeleni.

Mkuu kitendo cha kuwaruhusu wazanzibar wajitambue kama nchi kwenye katiba yao ndio kinacholeta ugumu kuongelea serikali moja.

Kuongelea serikali moja ni kitu ambacho wazanzibar hawataki hata kukisikia,sawa na kuwafanya waanze kutambaa wakati tayari wanatembea.

Labda ungetufafanulia gharama zitaongezeka vipi kwa kuwa na serikali tatu.!
 
Nisawa unavyo sema lakini sivyema kukumbatia matatizo ambayo yanatutafuna kimya kimya maana kwa upande wangu siwapendi kabisa wanasiasa maana wengi ni wanafiki na wazuri wamemezwa kwenye kundi la wanafiki. Ivyo ndugu tulipofika kwa sasa sio pazuri na tunapoelekea ni pabaya zaidi
 
Tanzania kiuchumi siyo nzuri kama mnavyodhani hatuna hayo mapato ya kuendesha hizo serikali, mnataka tuwe ombaomba hadi lini? Kwa kifupi naamini viongozi wanabidi wawe wazi kwa wananchi siyo kesho tuna serikali tatu halafu mafuta yakaaza kuuzwa 7,000 kwa litre kwasababu ya kodi, nategemea hautalalamika.
Basi ili kukwepa gharama inabidi muungano uvunjwe tu.
 
Mkuu WILE acha kujenga hoja za kutisha watu, kama ni gharama za maisha tayari tunazo za kutosha na isitoshe tumeshazoea au tumesharidhika na uholela wa serikali ya ccm.

Mara gharama za umee zinapanda lakini tumekaa tu kimya, mara kodi ya simu na kodi zingine kibao ambazo Mtanzania wa kawaida hazifaham ila analipa tu bila kujua.

Binafsi sioni faida za huu muungano, ikiwa nikienda Zanzibar naonekana kama mkimbizi wakati mzanziba Tanganyika ni kama chumbani kwake.
 
Last edited by a moderator:
Wakati tupo busy na mijadala ya Muungano naona ni bora nikumbushe watu kuhusu Bili zitazokuja na uwepo wa serikali tatu ambazo kwa bahati mbaya mimi na wewe ..ndio na wewe (usishangae) itabidi tuchangae kupitia kodi zetu. Kwa akili yangu ya kawaida siamini Rais,Wabunge na watendaji wengine kwenye serikali ya Tanganyika hawatutanga sheria za kodi ambazo zitaniumiza mimi (mwananchi) iliwapate marupurupu yao. Ningependa kupata mawazo tofauti juu ya hili suala. Karibuni.

kAMA ULISIKILIZA VIZURI HOTUBA YA MZEE WARIOBA ALISEMA SUALA LA GHARAMA KATIKA KUWA NA SERIKALI TATU HALIPINGIKI LAKINI NJIA YA PEKEE YA KUEPUKANA NA HILO NA NI KUPUNGUZA UKUBWA WA SERIKALI ZA NCHI WASHIRIKA PAMOJA NA MABUNGE YAO. UTAKUJA KUKUTA KARIBU GHARAMA ZA UENDESHAJI WA SERIKALI NI ZILEZILE
 
Muungano ni pumzi ambayo ukivunjwa wote tutakufa?

Kila nchi ingejitegemea kivyake,na raia wa kila nchi wakarudi kwao regardless the impacts za walio na wazazi wa pande mbili.

Baada ya hapo sasa kwa nchi yenye kutaka Muungano-itume maombi kwa nyingine kwa uwazi.

Mjadala uliopo sasa ni wazi Tanganyika tunaing'ang'ania zanzibar bure tuu...ni ujinga!
 
Back
Top Bottom