Mimi nadhani pendekezo la tume la serikali tatu ni improved objectives au malengo la EAC. Rotation ya kiti, michango ya areas za muungano inakaribiana na yale yale ya EAC na EU.
Je nchi (ie Zanzibar au Tanzania bara) isipochangia kikamilifu, nini kitafuata?
Kuwa na mapendokezo haya ni sawa lakini kama mojawapo ya sehemu ya muungano isipotimiza wajibu wake , ni nini kita fuata. Zanzabar inashindwa kulipia matumizi yake ya umeme Tanesco kwa sasa.
Wilaya za Ilala, Kinodoni na Temeke individually zinaishinda Zanzibar kwa mapato.
Je nchi (ie Zanzibar au Tanzania bara) isipochangia kikamilifu, nini kitafuata?
Kuwa na mapendokezo haya ni sawa lakini kama mojawapo ya sehemu ya muungano isipotimiza wajibu wake , ni nini kita fuata. Zanzabar inashindwa kulipia matumizi yake ya umeme Tanesco kwa sasa.
Wilaya za Ilala, Kinodoni na Temeke individually zinaishinda Zanzibar kwa mapato.