Ghetto la Bernard Morrison ni hatari

kwa akili yake ya ushabiki maandazi ndio kaona hilo ni gheto kali loh? kuna shida sana mahali. kiufupi umasikini ndio unatufanya tuwe na akili mbovumbovu , ndiomaana tunaishia kukaa chini mashuleni huku mbunge anatembelea V8 ya mil 200, na maji pia tunakunywa ya kisima pamoja na ng'ombe huku mbunge anakunywa ya chupa ,na kuna wengine hata wanayaogea ya chupa
 
Soma katikati ya maneno.

Usikurupuke.

Rudia kusoma tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…