Ghetto la Bernard Morrison ni hatari

Ghetto la Bernard Morrison ni hatari

Mkuu umepaniki tu jamaa kaweka uzi kwa lugha ya kejeri nafikiri umeshindwa kugundua hilo
kwa akili yake ya ushabiki maandazi ndio kaona hilo ni gheto kali loh? kuna shida sana mahali. kiufupi umasikini ndio unatufanya tuwe na akili mbovumbovu , ndiomaana tunaishia kukaa chini mashuleni huku mbunge anatembelea V8 ya mil 200, na maji pia tunakunywa ya kisima pamoja na ng'ombe huku mbunge anakunywa ya chupa ,na kuna wengine hata wanayaogea ya chupa
 
Dida Mashauzi unanifahamu vyema lakini...?

[emoji23][emoji23][emoji23]
Nabii Tito katika ubora wako.
tapatalk_jpeg_1571937092693.jpg
 
Umaskini nao mzigo. Sasa hapo geyo kali likwapi?

Gheto kali liko wap mzee?

Mmmh upo serious??

kwa akili yake ya ushabiki maandazi ndio kaona hilo ni gheto kali loh? kuna shida sana mahali. kiufupi umasikini ndio unatufanya tuwe na akili mbovumbovu , ndiomaana tunaishia kukaa chini mashuleni huku mbunge anatembelea V8 ya mil 200, na maji pia tunakunywa ya kisima pamoja na ng'ombe huku mbunge anakunywa ya chupa ,na kuna wengine hata wanayaogea ya chupa

Learn how to read BETWEEN THE LINES.

#YNWA
 
Back
Top Bottom