kwa akili yake ya ushabiki maandazi ndio kaona hilo ni gheto kali loh? kuna shida sana mahali. kiufupi umasikini ndio unatufanya tuwe na akili mbovumbovu , ndiomaana tunaishia kukaa chini mashuleni huku mbunge anatembelea V8 ya mil 200, na maji pia tunakunywa ya kisima pamoja na ng'ombe huku mbunge anakunywa ya chupa ,na kuna wengine hata wanayaogea ya chupa
Very poor living roomHivi ndivyo wenzetu wanavyojali wachezaji wao...
Ona ghetto la mchezaji wao wa kimataifa linavyo fanana.
Yanga SC mna mengi sana ya kujifunza...kutoka kwa Boss Mo Dewji.
View attachment 2003534
View attachment 2003535
Hapa panakalikaGheto kali kushinda iliView attachment 2003872
Nabii Tito katika ubora wako.Dida Mashauzi unanifahamu vyema lakini...?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kochi ya 500k inakuoa ufahamu kiiasi hiki, bado natafakari ni ushabiki au ndivyo ulivyo kweli?Hivi ndivyo wenzetu wanavyojali wachezaji wao...
Ona ghetto la mchezaji wao wa kimataifa linavyo fanana.
Yanga SC mna mengi sana ya kujifunza...kutoka kwa Boss Mo Dewji.
View attachment 2003534
View attachment 2003535
Tafuta hela mzee.Ungekuwa na pesa usingeona hilo gheto ni kali.Read between the lines.
Hili bado ni zeroGheto kali kushinda iliView attachment 2003872
Hizo lines unazosisitiza watu wasome ni zipi🤣🤣🤣🤣Soma katikati ya maneno.
Usikurupuke.
Rudia kusoma tena.
Bora hili [emoji23][emoji23][emoji23]Gheto kali kushinda iliView attachment 2003872
Ila hii redio niambie bei yake nikaitafute mkuu. [emoji119][emoji119]Gheto kali kushinda iliView attachment 2003872
Umaskini nao mzigo. Sasa hapo geyo kali likwapi?
Gheto kali liko wap mzee?
Mmmh upo serious??
kwa akili yake ya ushabiki maandazi ndio kaona hilo ni gheto kali loh? kuna shida sana mahali. kiufupi umasikini ndio unatufanya tuwe na akili mbovumbovu , ndiomaana tunaishia kukaa chini mashuleni huku mbunge anatembelea V8 ya mil 200, na maji pia tunakunywa ya kisima pamoja na ng'ombe huku mbunge anakunywa ya chupa ,na kuna wengine hata wanayaogea ya chupa
Akikujibu ni-tag pls..Yan mikia badala ya kuandaa timu, wanahangaika na vitu vdg vdg. Eti Yanga wajifunze kwa Mo. Upuzi mtupuGheto kali liko wap mzee?