Mkuu,,, nataka uzungumze kdogo juu ya ngoma ya P. I. M. P pamoja na impact yakeHivi unajua Connecticut kuna siku maalum ya kumkumbuka 50 cent inaitwa " 50 Cent Curtis Jackson Day" jamaa alipewa na Meya wa Jiji funguo ya Jiji!..
October 12
Sawa na leo tuchukue msanii tumpe siku yake kumkumbuka Dsm na tumpe funguo ya Jiji!..
50 ni mmoja wa wasanii matajiri duniani, hao ni forbes 2017, wamemlist kama msanii tajiri no. 4 duniani baada ya Diddy, Jigga na Dr dre..😀😀😀.,. Hivi kuna 50 cent mwingine or ni huyu huyu 50 cent tunaomjua wote unaemzungumzia hapa.!!!,..Afu he is broke,..hata mimi natamani kua 15mil usd broke aisee 😀
Dont touch the merchandise, mother f***kerNever Get High On your own supply
that's rule numero UnoDont touch the merchandise, mother f***ker
Swag zina Era yake..round hii swag sio tena mziki WA 50,swag za kina Lil Pump,Lil Guwop..Migos..Thugger..hata kipindi icho cha kina Rakim..,swag zilikua za kina Mc Hammer,LL cool J,Kurtis Blow....kwani now bongo nani Ana trap hard??swag on point??who's littest New Wave Rapper in BongoKapanic tu huu ndo ulikuwa muda wake, maana mziki wa Swagg si ndo muda wake sasa
Dude!Yap ni kweli, Kenneth Mc Griff yupo jela mpaka Leo,Wise Mc Griff naye yupo jela naye,juzi amemtukana sana 50,Supreme team wamefilisika,Murder inc nayo haina sauti tena,50 ni gangsta for real,niliwahi kukutana naye Houston Niga hana noma kabisa,Lorenzo Fat cat naye hana noma,Mc Griff ndiye aliyemuua Jam Master Jay wa Run DMC,pia Kenneth Mc Griff amemtomba sana mama ake fifty,mama ake fifty naye alikuwa drug dealer,na ukweli ni kwamba Mc Griff ndiye baba mzazi wa fifty,hata nyimbo ya Ghetto Quran ilikuwa Kali,juzi pia 50 ametoa ngoma nyingine kumtukana Mc Griff
Mzee kama hilo neno lingekuwa matusi basi lisingeandikwa kwenye kamusi,by the way hata fifty mwenyewe mwenye mama ake ndiye aliyesema hivyoDude!
Are you on crack too?
Why would you write explicit words like "alikuwa anamtomb* mama yake 50"?
Why the hell you gotta be using all that goddamned profanity!
Anyway, good post except the profanity part.
Moni, Country boy, na madogo wa OMG labda, Zillah angekomaa sasa hivi kwa ile style yake angetoka tena kwa mimi navyoona. Au kwa sasa game ya bongo inahitaji rapper wa aina gani mkuu?Swag zina Era yake..round hii swag sio tena mziki WA 50,swag za kina Lil Pump,Lil Guwop..Migos..Thugger..hata kipindi icho cha kina Rakim..,swag zilikua za kina Mc Hammer,LL cool J,Kurtis Blow....kwani now bongo nani Ana trap hard??swag on point??who's littest New Wave Rapper in Bongo
rapper Ana rap with a melody..anaejua kuandika catchy hook..na beats kama za ayo,hit boy..Noah,boy 1da..mziki ndio upo huko,sio tena Lyrics over Beats,Ni Beats over LyricsMoni, Country boy, na madogo wa OMG labda, Zillah angekomaa sasa hivi kwa ile style yake angetoka tena kwa mimi navyoona. Au kwa sasa game ya bongo inahitaji rapper wa aina gani mkuu?
hao uliowataja,kwangu wote rappers WA 2009 and late.i mean bado WA kizamani,,Moni, Country boy, na madogo wa OMG labda, Zillah angekomaa sasa hivi kwa ile style yake angetoka tena kwa mimi navyoona. Au kwa sasa game ya bongo inahitaji rapper wa aina gani mkuu?
Vipi kama mtu anajua kuandika na anajua kuweka melodies nzuri mkuu, mfano Billnas hivirapper Ana rap with a melody..anaejua kuandika catchy hook..na beats kama za ayo,hit boy..Noah,boy 1da..mziki ndio upo huko,sio tena Lyrics over Beats,Ni Beats over Lyrics
Ha ha ha mkuu, natamani siku moja tufanye kazi maana unaonekana uko deep sanahao uliowataja,kwangu wote rappers WA 2009 and late.i mean bado WA kizamani,,
billanas wack Sana,Kuna wana wanaweza...kama upo fresh fresh ..nikupe beats..hahVipi kama mtu anajua kuandika na anajua kuweka melodies nzuri mkuu, mfano Billnas hivi
Duuh basi me huyo ndo namuona anaweza kufanya rap ya kisasa yenye melodies kwa hapa bongo, kama drake hivi, nipe tu mkuu ha habillanas wack Sana,Kuna wana wanaweza...kama upo fresh fresh ..nikupe beats..hah
Ushaiskia album ya Bar Es Salaam..season iiDuuh basi me huyo ndo namuona anaweza kufanya rap ya kisasa yenye melodies kwa hapa bongo, kama drake hivi, nipe tu mkuu ha ha
Hapana mkuu, inapatikana wapi hiyoUshaiskia album ya Bar Es Salaam..season ii
Wauza Unga wote Wakubwa Duniani huwa wenyewe hawatumii sababu kanuni yao kubwa ni "Dont Get High On Your Own Supply"!50 ni real gangster.. Licha ya kuuza madawa kwa miaka kibao hajui ladha ya cocaine wala heroine.. Hajawahi kuonja. Na alikuwa na adabu sana mbele ya bibi yake hivyo bibi akuwahi kuamini kama mjukuu wake ni jiwe na alianza kulipa bills za Nyumba ya bibi yake akiwa bado mtoto anauza unga street.
Hadi Leo bibi yake 50 anasema 50 ni mpole na mkarimu ila kitaani wanakwambia jamaa ana kauli mbiu yake moja kwamba "show no love..love will get you killed" kwa hiyo yeye kabla hujamkill anakukill wewe.
. Madhara ya Copycat ndio haya. .Alieandika hii gist ni demu. Wewe umebeba kila kitu kama Kasuku na kubandika hapa. Bila hata kuelewa.As a shorty, I was a stan. Then I grew up and figured I wasn't really down with the type of man he was, a snitch who traded bars for memes, jokes, and clicks. He's a funny dude tho, creative and a hella hustla too. Don't buy too much into rap music, it's just showbiz for the most part.