Hiyo ni USD 800,000 sawa na bilion 1,859,732,001.80 za ki tanzania
Huyu hauzi ila anafanya testUSD LAKI 800,000/
GHOROFA INAUZWA UPANGA
SQM 1000
UPANGA MTAA WA MAZENGO NYUMBA YA VYUMBA VINNE VYOTE MASTER SERVANT QUOTER .KITCHEN NA SEHEMU YA KULA NYAMA CHOMA INAUZWA KWA DOLA 800,000/= KUNA GENERATOR LA DHARULA
0742522232View attachment 2215102View attachment 2215103View attachment 2215104View attachment 2215105View attachment 2215106View attachment 2215107View attachment 2215108View attachment 2215109
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ni utofauti wa eneo gorofa litakalo uzwa Sumbawaga bei yake ni tofauti na litakalo uzwa kariakoo ikiwa gorofa la aina moja$93,286 hiyo South Africa)))ila bongo bhana nyumba mbovu watu wanauza bei hahhaha View attachment 2215224
$93,286 hiyo South Africa)))ila bongo bhana nyumba mbovu watu wanauza bei hahhaha View attachment 2215224
Naomba link ya sale$93,286 hiyo South Africa)))ila bongo bhana nyumba mbovu watu wanauza bei hahhaha View attachment 2215224
$93,286 hiyo South Africa)))ila bongo bhana nyumba mbovu watu wanauza bei hahhaha
Mkuu kwani mikoa mingine hakuna hadi utaje Sumbawanga tena kwa Nia ovu!!! Ukirogwa utalalamika?Ni utofauti wa eneo gorofa litakalo uzwa Sumbawaga bei yake ni tofauti na litakalo uzwa kariakoo ikiwa gorofa la aina moja
πMkuu kwani mikoa mingine hakuna hadi utaje Sumbawanga tena kwa Nia ovu!!! Ukirogwa utalalamika?
Hahahahah huenda ni Chanika ya South Africa ila hapo city centre South Africa nyumba haiwezi kuwa bei chee hivyo
Nje bei zao haziumizi kama za kwetu huku$93,286 hiyo South Africa)))ila bongo bhana nyumba mbovu watu wanauza bei hahhaha View attachment 2215224
Napo labda ununue kiwanjaUngesema 300Mil